Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekuona , kwakweli ubarikiwe huu ndo uungwanaMaalim, niko msibani sheikh
Mmeona a, that's greatnimekuona , kwakweli ubarikiwe huu ndo uungwana
Hazikua za kimchongo kweliMmoja alikuwa na kisukari na mwingine cancer
Duh John kaondoka! Hii familia naijua sana, mzee Simba na mama Mary walikuwa kama wazazi wangu. Pole sana Mary, pole sana SundayHiki ni kisa cha kuhuzunisha, Mwenge Kijijini jijini Dar inalia, misiba ya watu wawili marafiki John Simba na Patrick a.k.a Masu a.k.a Masumbuko marafiki chanda na Pete.
Issue iko hivi, washikaji wote wawili walikuwa wakiumwa, John Simba alikuwa mgonjwa zaidi, na Masu alikuwa akiumwa pia ila fresh fresh kimtindo, akilala siku mbili, siku ya tatu mko naye mtaani mnakula mamboz.
Sasa juzi, Masu kakata moto, majonzi yametanda na mshikaji wake john Simba hana taarifa kwamba nigga wake kakata moto.
Jana sasa ,wakuda wamemjulisha kwamba mshikaji wako Masu kavuta. Duh mshikaji kapatwa na mshituko, akang'ata shuka.
Basi hii misiba yote ni Mwenge mitaa ya Bamaga hapa jirani kwa P Funk
Huyu John Simba alisoma na kaka zangu Mwenge Primary, nadhani ni miaka kati ya 45-48
Chilumba Alishatangulia kitambo, enzi hzokuna mwalimu ule, wansinyo, kigadye, mwakatobe, mapunda, mkumbwike, komoro, dah, kitambo sana mkuu.Mwenyezi Awarehemu Wana. Nasi tuko njiani. Atujalie Mwisho Mwema.
Mwenge Kijijini inanikumbusha Mwalimu Chilumba na Mwalimu Zayumba. Miaka imekwenda Aisee!
Bila kumsahau vicent simba.Duh John kaondoka! Hii familia naijua sana, mzee Simba na mama Mary walikuwa kama wazazi wangu. Pole sana Mary, pole sana Sunday
Mkuu una maneno makali.Kabisa. Ukute washapiga sana mademu wamoja mixer 3 somes.
Wanajuana kiundani hao.
Anyway wapumzike wanapostahili.
Mwakatobe pia hatunaye dunianiChilumba Alishatangulia kitambo, enzi hzokuna mwalimu ule, wansinyo, kigadye, mwakatobe, mapunda, mkumbwike, komoro, dah, kitambo sana mkuu.
MY BAD...Mmoja alikuwa na kisukari na mwingine cancer
Salamu zao za rambirambi zimewafikiaDuh John kaondoka! Hii familia naijua sana, mzee Simba na mama Mary walikuwa kama wazazi wangu. Pole sana Mary, pole sana Sunday
Mwenyezi Amrehemu Mwl. Chilumba na wengine waliotutangulia.Chilumba Alishatangulia kitambo, enzi hzokuna mwalimu ule, wansinyo, kigadye, mwakatobe, mapunda, mkumbwike, komoro, dah, kitambo sana mkuu.