TANZIA Mwenge Kijijini ina majonzi makubwa, wawili wafa ndani ya saa 24

TANZIA Mwenge Kijijini ina majonzi makubwa, wawili wafa ndani ya saa 24

Hiki ni kisa cha kuhuzunisha, Mwenge Kijijini jijini Dar inalia, misiba ya watu wawili marafiki John Simba na Patrick a.k.a Masu a.k.a Masumbuko marafiki chanda na Pete.

Issue iko hivi, washikaji wote wawili walikuwa wakiumwa, John Simba alikuwa mgonjwa zaidi, na Masu alikuwa akiumwa pia ila fresh fresh kimtindo, akilala siku mbili, siku ya tatu mko naye mtaani mnakula mamboz.

Sasa juzi, Masu kakata moto, majonzi yametanda na mshikaji wake john Simba hana taarifa kwamba nigga wake kakata moto.

Jana sasa ,wakuda wamemjulisha kwamba mshikaji wako Masu kavuta. Duh mshikaji kapatwa na mshituko, akang'ata shuka.

Basi hii misiba yote ni Mwenge mitaa ya Bamaga hapa jirani kwa P Funk
Duh John kaondoka! Hii familia naijua sana, mzee Simba na mama Mary walikuwa kama wazazi wangu. Pole sana Mary, pole sana Sunday
 
Huyu John Simba alisoma na kaka zangu Mwenge Primary, nadhani ni miaka kati ya 45-48

Mwenyezi Awarehemu Wana. Nasi tuko njiani. Atujalie Mwisho Mwema.

Mwenge Kijijini inanikumbusha Mwalimu Chilumba na Mwalimu Zayumba. Miaka imekwenda Aisee!
Chilumba Alishatangulia kitambo, enzi hzokuna mwalimu ule, wansinyo, kigadye, mwakatobe, mapunda, mkumbwike, komoro, dah, kitambo sana mkuu.
 
Chilumba Alishatangulia kitambo, enzi hzokuna mwalimu ule, wansinyo, kigadye, mwakatobe, mapunda, mkumbwike, komoro, dah, kitambo sana mkuu.
Mwenyezi Amrehemu Mwl. Chilumba na wengine waliotutangulia.
 
Back
Top Bottom