Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na cdm mmewatendea uzuri gani watz iwapo choo tu mmeshindwa kujijengea kama kweli nyie ni wemapimbiMaisha haya…, leo hii Magufuli na kujimwambafai kwake kote kule, na kututukana watanzania atakavyo leo hii yupo kundi la WAFU..!
Hivi MaCCM mtajifunza lini kuacha kuwatendea ubaya watanzania,
Karibu Chato bwashee!Yaani Mwenge wa uhuru unaenda kuzimwa kwa mtu ambae alikuwa anapinga uhuru wa watu?🤔🤔🤔Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu walahi!🚶🚶🚶
Kila mtu ajiombeeWaziri Jenister Mhagama amesema Mwenge wa Uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT
Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.
Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.
Chanzo: Star tv
Aibu tupuYaani Mwenge wa uhuru unaenda kuzimwa kwa mtu ambae alikuwa anapinga uhuru wa watu?🤔🤔🤔Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu walahi!🚶🚶🚶
Asili ya huo moto ni kuzimu lengo ni kuwapumbaza watu yafaa utupwe kabisa chooni.Halafu eti kuna wapungufu wa akili wanaota wakiingia ikulu ajenda yao ya kwanza ndani ya siku100 watauzima mwenge na kuuweka makubusho ya taifa!
Ukienda wewe pamoja na mke wako inatosha bwashee!Karibu Chato bwashee!
Amina bwashee!Ukienda wewe pamoja na mke wako inatosha bwashee!
Wala hatafufuka na wala haitamsaidia kituWaziri Jenister Mhagama amesema Mwenge wa Uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT
Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.
Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.
Chanzo: Star tv
Misa ifanyikie pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa ChatoWaziri Jenister Mhagama amesema Mwenge wa Uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT
Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.
Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.
Chanzo: Star tv
Sawa mwagito!Misa ifanyikie pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chato
Isaya 50:11Waziri Jenister Mhagama amesema Mwenge wa Uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT
Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.
Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.
Chanzo: Star tv
Wako pamoja, hakuna cha kuwazuia kuonana.Jiwe atakuwa na furaha sana huko kama ameonana na Nyerere
Heading ni kama kauli hii imewekewa na Kanisa Katoliki .Waziri Jenister Mhagama amesema Mwenge wa Uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT
Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.
Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.
Chanzo: Star tv
Hivi majamba wasi wameacha kuwaibia wa Tz na Mwisho wa siku kupeleka walicho Iba makanisani/ msikitiniMaisha haya…, leo hii Magufuli na kujimwambafai kwake kote kule, na kututukana watanzania atakavyo leo hii yupo kundi la WAFU..!
Hivi MaCCM mtajifunza lini kuacha kuwatendea ubaya watanzania,
Mawazo ya majambawasiSukuma gang wanaendelea kupeta huku chaga gang wakiendelea kukiona
Waziri Jenister Mhagama amesema Mwenge wa Uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT
Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.
Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.
Chanzo: Star tv