Mwenye app ya NALA ana jina kubwa kuliko app, kafanikiwa kwa sababu kasoma International schools sio kwa app, wewe mara ya mwisho umetumia Nala lini?

Mwenye app ya NALA ana jina kubwa kuliko app, kafanikiwa kwa sababu kasoma International schools sio kwa app, wewe mara ya mwisho umetumia Nala lini?

Chief si nimekutolea mfano wa Amazon hapo juu? Imagine unataka kufanya biashara kama amazon kibongongo ikiwa kila sehemu miundo mbinu ipo hoi na ujenzi holela kila kona
Mkuu

Amazon huijui,hujui ilivyoanza na hujui US government inamsaidia nini Amazon,HAKUNA!

Sana sana Amazon ndio anaisaidia US government.

Mkuu hujajibu swali,taja biashara Tanzania ambayo inahita zingira la serikali ili iweze kufanyika?

Serikali kazi yake ni kutoa LESENI full stop halafu ikae mbali mita milioni moja!

BASI!
 
M-pesa nikimaanisha(vodacom M-pesa, tigo pesa, Airtel Money, halopesa et al) kwa ujumla wake hizi zote zinatumika na watanzania wengi sana
Ungesema "Mobile Money" hahaaaa

Hebu elezea vizuri hiyo App

Maana naona ni kama Payment Company tu,kama ilivyo Selcom inafanya yote hayo,nipe tofauti yako na wao ni nini?
 
Ungesema "Mobile Money" hahaaaa

Hebu elezea vizuri hiyo App

Maana naona ni kama Payment Company tu,kama ilivyo Selcom inafanya yote hayo,nipe tofauti yako na wao ni nini?
Nadhani mobile money zote nchini zinatumia mfumo wa M-pesa(sina hakika sana).

Tuseme mtu anataka kufanya subsciption kwenye app, webiste nk. Alipe kwa tigo pesa, halopesa nk na aungwe automatically. Kama ni site ya kuuza vitu basi alipe moja kwa moja kwa hizi njia. Ziwe kama google pay au beem zinavyofanya kazi.
 
Nimewahi itumia mwaka 2019 kama sikosei iko poa tu mbona. Kuhusu kuacha usiniulize maana ni app nyingi tu nimeacha kutumia.
 
Nimeona comment za watu kama wana ujuzi wa IT humu ila, nasema ila, nasema ila tena. Wana wivu, alafu wanapotosha hadi wasiojua alichoandika mtoa thread. Kuna wengine wanaunga Mkono.

Usipotumia haimaanishi kibaya, au hakifai, Bali Huna mahusiano nacho.
Huwezi nunua embe bichi, kama hulihitaji, tunaopenda tutanunua na kuweka na pilipili ya unga.
90% ya watanzania waishio Uingereza, wanaotembea uingereza, wanaofanya biashara uingereza, WANATUMIA NALA, siijasema kenya hapo bado. And everyday transactions.
Huyu anayesema NALA ni hyoe tu, yeye ni nani? Kuacha na jina au kisoma cha Benji, NALA, imefanya kitu, amejitahidi, we need nothing more, amejitahidi, atajijua mwenyewe na usomi au utajiri wake. Huyu jamaa mm simfahamu vzuri ila naifahamu NALA vizuri
 
Nadhani mobile money zote nchini zinatumia mfumo wa M-pesa(sina hakika sana).

Tuseme mtu anataka kufanya subsciption kwenye app, webiste nk. Alipe kwa tigo pesa, halopesa nk na aungwe automatically. Kama ni site ya kuuza vitu basi alipe moja kwa moja kwa hizi njia. Ziwe kama google pay au beem zinavyofanya kazi.
Mkuu unapoendelea kutaja M-pesa unazidi nichanganya

Mpesa ni separate service kama ilivyo Tigopesa,Halopesa,T-pesa,etc

Underlaying technologies inaweza kua sawa au tofauti

Kulipia directly kwa mobile money kwenye website sasa hivi ipo kama Airtel Money,Tigopesa,M-pesa....API's zipo

Google Pay ni noma maana inakutambua directly ndio maana ipo seemlessly,kama Apple Pay pia

Shida ya mobile money ni mpaka utambulike kwa phone number,lazima uingize manually mzee

Hebu nipe njia yako unayotaka ni tofauti kivipi,naona nione
 
Mkuu unapoendelea kutaja M-pesa unazidi nichanganya

Mpesa ni separate service kama ilivyo Tigopesa,Halopesa,T-pesa,etc

Underlaying technologies inaweza kua sawa au tofauti

Kulipia directly kwa mobile money kwenye website sasa hivi ipo kama Airtel Money,Tigopesa,M-pesa....API's zipo

Google Pay ni noma maana inakutambua directly ndio maana ipo seemlessly,kama Apple Pay pia

Shida ya mobile money ni mpaka utambulike kwa phone number,lazima uingize manually mzee

Hebu nipe njia yako unayotaka ni tofauti kivipi,naona nione
Nikajua M-pesa ndiyo system inayotumiwa na Voda, tigo na wengine wote wakitofautiana majina tu. Nilikuwa nazungumzia kitu automatic kama google pay. Kwa sasa unaweza kulipa moja kwa moja kwenye google pay kutumia billing ya hizi tigo pesa na mpesa, lakini zinakuwa kama credit card.

Tunahitaji mfumo mtu alipe kwa tigo pesa, pesa ziende kwenye tigo pesa ya muuzaji na mnunuzi apate huduma automatically. Hata usipoweka app playstore uweze kuweka huo mfumo na kufanya biashara vizuri tu. Na hata playstore labda waweze kuuruhusu kama mfumo mbadala wa malipo.
 
Nikajua M-pesa ndiyo system inayotumiwa na Voda, tigo na wengine wote wakitofautiana majina tu. Nilikuwa nazungumzia kitu automatic kama google pay. Kwa sasa unaweza kulipa moja kwa moja kwenye google pay kutumia billing ya hizi tigo pesa na mpesa, lakini zinakuwa kama credit card.

Tunahitaji mfumo mtu alipe kwa tigo pesa, pesa ziende kwenye tigo pesa ya muuzaji na mnunuzi apate huduma automatically. Hata usipoweka app playstore uweze kuweka huo mfumo na kufanya biashara vizuri tu. Na hata playstore labda waweze kuuruhusu kama mfumo mbadala wa malipo.
Hapo hautakua huru kiivyo

Huenda una njia mkuu,tupe njia tuone!
 
Mi nadhani "creativity" iko overhyped katika biashara, sio lazima kuwa creative kupata mafanikio cha muhimu ni execution ya hiyo business.

Hizi payment platform haziko technically complex kihivyo ila zinahitaji kazi kubwa kwa sababu ya regulation/compliance/sheria katika masuala ya kuhamisha pesa hasa kimataifa.
Kwani Ile "SAMA PAY" ya Samatta illishia wapi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.

Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.

Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.

Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.

Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.
What's your point? You seems to be a hater.
 
Mimi nikisemaga naambiwa ohh, una wivu. Hapa hatuongelei wivu. Nala haina creativity, that's it. Huwezi kunambia niite white nyeusi na black nyeupe.

little creativity, too much words. Na unajua nn, talking is always cheap. Jamaa anataka kuwa celebrity kama elon musk lkn hana technical edge.

Fintech apps kwa africa zilikua ni hype tu, na nyingi zimeshafunga ofisi.
Opinion is like an ass, everyone's got one.
 
Back
Top Bottom