beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Halafu kuwa na connections haku-guarantee mafanikio. If you don't deliver those doors tend to close pretty quickly.Njia nzuri kabisa ya ku prove NALA si chochote ni mtu anayeiponda kutengeneza yake ambayo ni nzuri zaidi.
Kitu ambacho hakijafanyika Tanzania.
Kwa kila anayesema Benja ana connections kubwa, connections hizo hazijamsaidia kuweza kuwa na HQ Tanzania alipotaka kufanya awali, licha ya kupigiwa chapuo mpaka na rais.
So much for connections.
Ndiyo hicho najaribu kuwaambia watu.Halafu kuwa na connections haku-guarantee mafanikio. If you don't deliver those doors tend to close pretty quickly.
Well said.Mafanikio kwenye haya mambo si kujua coding tu.
Kuna suala zima la networking, management, marketing, grit.Kupambana kuangalia mambo ya kodi imekaa vizuri wapi, governance, compliance, encryption for data at rest and in motion, PCI complince / retention, ransomware threats, breaches, talent iko wapi. Mwanzo mgumu.
Na hapo unaweza kumuonea Benjamin, kwa sababu ingawa inawezekana kasoma hizo shule na kupata networks fulani, ila na yeye kasota kufanyia kazi mafanikio anayopata. Na ana njaa ya kupata mafanikio zaidi. Naona team yake wanavyohangaika kuwa visible, kufanya outreach, kujimix na communities.
NALA nafikiri imekaa zaidi kwenye money transfers za kimataifa, na inashindana na makampuni makubwa ya kimataifa kama World Remit na Sendwave. Watanzania wa nje wana nafasi kubwa ya kuikubali na kuifanya ifanikiwe au kuipotezea tu.
Hata mimi huwa naogopa sana kuyasema haya nisije onekana hater. Hiz tech startups ki bongo bongo huwa naona kama zina overate sana ideas.Mimi nikisemaga naambiwa ohh, una wivu. Hapa hatuongelei wivu. Nala haina creativity, that's it. Huwezi kunambia niite white nyeusi na black nyeupe.
little creativity, too much words. Na unajua nn, talking is always cheap. Jamaa anataka kuwa celebrity kama elon musk lkn hana technical edge.
Fintech apps kwa africa zilikua ni hype tu, na nyingi zimeshafunga ofisi.
What is your point?NALA integrates Apple Pay for diaspora payments into Africa
NALA has announced another breakthrough for its customers: They can now make payments from the UK and US via Apple Paytechcabal.com
Vi IT vya kibongo vitakwambia aaah hio rahisi tu si unaunga sijui API za Apple halafu yeye hata app ya kuuza utumbo hana
Kama startup inasolve a real problem au tuseme a validated problem, at scale basi hamna tatizo mkuu....Hata mimi huwa naogopa sana kuyasema haya nisije onekana hater. Hiz tech startups ki bongo bongo huwa naona kama zina overate sana ideas.
Kuna dogo mmoja anaitwa Gwalugano ana project yale ya AI sarufi, i always wonder what is really your objective here?.
We need tech yeah i agree but kibongo bado project ndogo ndogo kabisaaa bado zina hitajika kwa kiwango kikubwa hata kabla ya kukimbilia huko kwenye ma AI. Huwa nawalizaga vijana japo sio kwa ubaya kwamba ume achieve kipi kwa simple skills tu hiz za kawaida kama php, java script , java, android kabla hujalimbilia kwenye hayo mambo mazito mazito??? I always wonder.. mshamba_hachekwi
Yeah..you have a point.Kama startup inasolve a real problem au tuseme a validated problem, at scale basi hamna tatizo mkuu....
My point for IT wa kibongo, NALA in on another level and then someWhat is your point?
Hil nalo ni sahihiMy point for IT wa kibongo, NALA in on another level and then some
Badala wao waje na kitu applicable, wanazunguka kukosoa, na sasa mazoea yamefikia wanatafuta excuse za kizwazwa oooh anasaidiwa mara kuna watu wanamtengenezea njia
hii mbona baadhi ya apps zinafanyika sana, sema kwa regulations za BoT, pesa inakatwa toka kwa mobile wallet ya mteja(anakuwa prompted kuweka PIN, na kiasi cha kukatwa kinaonekana waziwazi) kisha pesa inaenda account ya benki ya muuzaji , hizi info za account ya benki unawapa hao kina Tigo pindi unaomba kuungwa na hii huduma tena ni chap ukiwa na nyaraka stahikiTunahitaji mfumo mtu alipe kwa tigo pesa, pesa ziende kwenye tigo pesa ya muuzaji na mnunuzi apate huduma automatically
google wanataka (kama utahost app play store) utumie billing system yao ya google pay kama unauza digital products(in-app subscriptions) kama unauza physical products wanaruhusu hizo 3rd party payment gateways(akina stripe, etc)Na hata playstore labda waweze kuuruhusu kama mfumo mbadala wa malipo.
2019 Nala haikuwa Payment Gateway ilikuwa App ya kununua Bando tu onlineNimewahi itumia mwaka 2019 kama sikosei iko poa tu mbona. Kuhusu kuacha usiniulize maana ni app nyingi tu nimeacha kutumia.
Kumbuka huyu jamaa Bill Gates alitaka kumuajiri akakataa ili atimize ndoto zake za kujiajiri na kuajiri.Exactly,
Nimewaambia NALA inashindana na World Remit na Sendwave na Watanzania wa diaspora ndiyo watakaoamua kama itafanikiwa ama la.
Hata Benja mwenyewe ukimuangalia outreachs zake anafanya kwenye Marathon Boston, New York, London etc.
Huko ndiko kwenye wateja wake.
Hii Kampuni iliridi Tanzania? Mara ya mwisho I checked Tanzania walimzingua akaihamishia KenyaKumbuka huyu jamaa Bill Gates alitaka kumuajiri akakataa ili atimize ndoto zake za kujiajiri na kuajiri.
Kampuni ya NALA iliyoanzishwa na Kijana Mtanzania Benjamin Fernandes (@Benji_Fernandes ), imetangazwa kwenye soko la hisa la Marekani NASDAQ kupata uwekezaji wa dola za Kimarekani milioni 40 ( Tsh. Bilioni 106) uwekezaji ambao utaiwezesha kutimiza lengo lake la kukua zaidi kimataifa na kuboresha ubora na usalama wa malipo barani Afrika kwa kupita mfumo mpya wa malipo uliotengenezwa na Kampuni hiyo uitwao Rafiki (@rafiki_api ).
View attachment 3039086
Tanzania ni nchi yenye nazingira ya kukwamisha watu.Hii Kampuni iliridi Tanzania? Mara ya mwisho I checked Tanzania walimzingua akaihamishia Kenya