Hahah huyo jamaa anatumia Halopesa.Watumiaji wa Tigo pesa hebu tuache kuingilia Vitu tusivyovijuwa.
Nala haideal na kutransfer pesa kutoka Tandika kwenda Rufiji.
Mleta mada ana upeo mdogo mno wa akili anadhani Nala ni sawa na Tigo Pesa,Mpesa,Airtel Money na Halopesa local money transfer Msamehe bure mjinga huyo na asiye na exposure yuko too local na shalow kichwaniMafanikio kwenye haya mambo si kujua coding tu.
Kuna suala zima la networking, management, marketing, grit.Kupambana kuangalia mambo ya kodi imekaa vizuri wapi, governance, compliance, encryption for data at rest and in motion, PCI complince / retention, ransomware threats, breaches, talent iko wapi. Mwanzo mgumu.
Na hapo unaweza kumuonea Benjamin, kwa sababu ingawa inawezekana kasoma hizo shule na kupata networks fulani, ila na yeye kasota kufanyia kazi mafanikio anayopata. Na ana njaa ya kupata mafanikio zaidi. Naona team yake wanavyohangaika kuwa visible, kufanya outreach, kujimix na communities.
NALA nafikiri imekaa zaidi kwenye money transfers za kimataifa, na inashindana na makampuni makubwa ya kimataifa kama World Remit na Sendwave. Watanzania wa nje wana nafasi kubwa ya kuikubali na kuifanya ifanikiwe au kuipotezea tu.
Wrongutasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.
Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.
Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.
Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.
Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.
Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.
Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.
Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.
Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.
Mimi nikisemaga naambiwa ohh, una wivu. Hapa hatuongelei wivu. Nala haina creativity, that's it. Huwezi kunambia niite white nyeusi na black nyeupe.
little creativity, too much words. Na unajua nn, talking is always cheap. Jamaa anataka kuwa celebrity kama elon musk lkn hana technical edge.
Fintech apps kwa africa zilikua ni hype tu, na nyingi zimeshafunga ofisi.
MkuuKuna biashara ili zifanikiwe serikali lazima itengeneze mazingira ...we unadhani biashara kama amazon ingefanikiwa bila kuwepo miundo mbinu iliyotengenezwa na serikali?
Unajua ila kazi ya App yenyewe na matumizi yake? wewe upo sahihi kuliko waliweka 80b umo, sijui wa Tz tuna nn nakuchukia maendeleo ya watu.utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.
Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.
Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.
Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.
Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.
Unajua ila kazi ya App yenyewe na matumizi yake? wewe upo sahihi kuliko waliweka 80b umo, sijui wa Tz tuna nn nakuchukia maendeleo ya watu.
NaamMimi nikisemaga naambiwa ohh, una wivu. Hapa hatuongelei wivu. Nala haina creativity, that's it. Huwezi kunambia niite white nyeusi na black nyeupe.
little creativity, too much words. Na unajua nn, talking is always cheap. Jamaa anataka kuwa celebrity kama elon musk lkn hana technical edge.
Fintech apps kwa africa zilikua ni hype tu, na nyingi zimeshafunga ofisi.
Haya XRP (Ripple) Alifutiwa mashitaka yake na sasa elon anaimendea Ripple Aintegrate na Twitter.Mkuu,
Habari ya crypto nimejibu per Kang.
Ripple naifahamu, na wewe ungeifahamu ungejua matatizo yake ya compliance na SEC na mambo ya fraud na debate nzima ya XRP ni security au commodity.
This is the whole Sam Bankman-Fried saga I mentioned above repeating again.
Yani mambo hayajapitishwa SEC walikoanzisha wenyewe wewe mbongo unataka kuyafakamia huko Tanzania na Kenya in the wild wild west ambako hata waziri wa fedha hajui XRP ni nini?
Do you know that will mean NALA itapigwa ban US, very likely EU too?
Mkenya anavyojipendekeza kwa Marekani unafikiri akilimwa barua moja tu ya SEC ya AML atamuachia NALA aendelee hapo?
You really want to mess this up royally huh?