Mwenye club figtnes Nzega ujinga uliofanyika usiku wa leo usikubali ujirudie

Mwenye club figtnes Nzega ujinga uliofanyika usiku wa leo usikubali ujirudie

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Natoka zangu Mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega, Mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza Baa nzima

Mmiliki sikujui ujui ila huu ujinga usikubali tena. Nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ujinga so mmiliki wa hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana
 
Natoka nzangu mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza bar nzima

Mmiliki sikukuu unijui ila huu ujinga usikubali tena nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ukonga so mmiliki wa a hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana
Nimekusoma Mkuu, malalamiko ya mlevi kama haujapiga vitu huwezi kuelewa hata kaandika Nini! Si kwa sisi mukide... mwana wamekukata stimu wakati umelipia uliza kwa Magige hapo mtaa wa 2 upate pombe majani bili nitakuja lipa. Kukicha.
 
Sipendi huo ujinga wa kutushirikisha upumbavu wa besdei za hao mandezi, they need no wait night to let us know their slavery, they workout birthday that they aren't even aware about. Foolish, we non participants of theirs it doesn't concern us. Shame
 
Natoka zangu Mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega, Mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza bar nzima

Mmiliki sikujui unijui ila huu ujinga usikubali tena. Nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ujinga so mmiliki wa hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana
Unaendesha Lori la kampuni gani?
Hiyo club inajaza Sana madereva wa ma fuso.
 
Natoka zangu Mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega, Mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza Baa nzima

Mmiliki sikujui ujui ila huu ujinga usikubali tena. Nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ujinga so mmiliki wa hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana
Mlisimamishwa bar nzima kuimba happy birthday to you? 🤣🤣🤣
 
Sipendi huo ujinga wa kutushirikisha upumbavu wa besdei za hao mandezi, they need no wait night to let us know their slavery, they workout birthday that they aren't even aware about. Foolish, we non participants of theirs it doesn't concern us. Shame
Andika kiswahili tu hicho kingereza chako.mmmmm
 
Sipendi huo ujinga wa kutushirikisha upumbavu wa besdei za hao mandezi, they need no wait night to let us know their slavery, they workout birthday that they aren't even aware about. Foolish, we non participants of theirs it doesn't concern us. Shame

Alieelewa jaman mie nimeelewa maneno foolish na slavery
 
Back
Top Bottom