Mwenye club figtnes Nzega ujinga uliofanyika usiku wa leo usikubali ujirudie

Mwenye club figtnes Nzega ujinga uliofanyika usiku wa leo usikubali ujirudie

Sipendi huo ujinga wa kutushirikisha upumbavu wa besdei za hao mandezi, they need no wait night to let us know their slavery, they workout birthday that they aren't even aware about. Foolish, we non participants of theirs it doesn't concern us. Shame
Huu ushamba pia nimeuona huko Mpanda, Katavi. Yaani mtu unaenda zako Bar kula bia na mziki mnene unakuta Bar yote ni Birthday ya mtu daaah..
 
Huu ushamba pia nimeuona huko Mpanda, Katavi. Yaani mtu unaenda zako Bar kula bia na mziki mnene unakuta Bar yote ni Birthday ya mtu daaah..
Kwan waliokua kwny birthday walkua hawanywi pombe, au pombe kwny birthday ni haramu?
 
Anadrive from mwanza to Nzega ndo aseme kachoka, labda km alikua anaendesha mtumbwi wa vibwengo,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au aseme muda ulikuwa umeenda akaamua kupumzika, ila sio kuchoka...watu manafurahisha eti mtumbwi wa vibwengooo
 
Natoka zangu Mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega, Mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza Baa nzima

Mmiliki sikujui ujui ila huu ujinga usikubali tena. Nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ujinga so mmiliki wa hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana

Hivi hilo jina la club ni sahihi kweli? Hebu rudia tena kuchek! Then andika kwa kutulia. Nzega iko raha sana. Hebu lete story tena! Ilikuwaje! Maana umeandika kama umefurumshwa kwenye fumanizi!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwan waliokua kwny birthday walkua hawanywi pombe, au pombe kwny birthday ni haramu?
Punguzeni ushamba, haya mambo huwezi kukuta kwenye Bar za kijanja kama Dar, Dodoma, Moro, Arusha nk... You know why? Kwa sababu wanajua vizuri customer care kwa wateja wao wote, kuna ambao hawapendi hayo mambo, kuna wapenda mpira, kuna wapenda mziki.. Wewe ukija na kundi lako la birthday mnatafutiwa sehemu yenu pembeni hukoo muendelee na yenu bila kuleta karaha kwa wengine..
 
Natoka zangu Mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega, Mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza Baa nzima

Mmiliki sikujui ujui ila huu ujinga usikubali tena. Nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ujinga so mmiliki wa hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana
Uzi tayari ?
 
Back
Top Bottom