Cc mgt softwareKama bukoba round about ina mgomba
Kilimo cha ndiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc mgt softwareKama bukoba round about ina mgomba
Kilimo cha ndiz
Huu ushamba pia nimeuona huko Mpanda, Katavi. Yaani mtu unaenda zako Bar kula bia na mziki mnene unakuta Bar yote ni Birthday ya mtu daaah..Sipendi huo ujinga wa kutushirikisha upumbavu wa besdei za hao mandezi, they need no wait night to let us know their slavery, they workout birthday that they aren't even aware about. Foolish, we non participants of theirs it doesn't concern us. Shame
Unafanyaje birthday kwenye Bar yenye ukumbi mmoja na watu wamejaa na kila mtu ana interest zake? Kwa nini usikodi sehemu private ukafanya mambo yako hukoo?Sasa ulikereka nini
Hii tabia Iko sana TaboraUnafanyaje birthday kwenye Bar yenye ukumbi mmoja na watu wamejaa na kila mtu ana interest zake? Kwa nini usikodi sehemu private ukafanya mambo yako hukoo?
Anadrive from mwanza to Nzega ndo aseme kachoka, labda km alikua anaendesha mtumbwi wa vibwengo,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa. Tunashukuru kujua kua unajua ku-drive!
Kesho tena
Kwan waliokua kwny birthday walkua hawanywi pombe, au pombe kwny birthday ni haramu?Huu ushamba pia nimeuona huko Mpanda, Katavi. Yaani mtu unaenda zako Bar kula bia na mziki mnene unakuta Bar yote ni Birthday ya mtu daaah..
Au aseme muda ulikuwa umeenda akaamua kupumzika, ila sio kuchoka...watu manafurahisha eti mtumbwi wa vibwengoooAnadrive from mwanza to Nzega ndo aseme kachoka, labda km alikua anaendesha mtumbwi wa vibwengo,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawe kwa nn usiende hizo sehemu nyingine?Unafanyaje birthday kwenye Bar yenye ukumbi mmoja na watu wamejaa na kila mtu ana interest zake? Kwa nini usikodi sehemu private ukafanya mambo yako hukoo?
Natoka zangu Mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega, Mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza Baa nzima
Mmiliki sikujui ujui ila huu ujinga usikubali tena. Nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ujinga so mmiliki wa hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana
MaloriMadereva wa maroli
Punguzeni ushamba, haya mambo huwezi kukuta kwenye Bar za kijanja kama Dar, Dodoma, Moro, Arusha nk... You know why? Kwa sababu wanajua vizuri customer care kwa wateja wao wote, kuna ambao hawapendi hayo mambo, kuna wapenda mpira, kuna wapenda mziki.. Wewe ukija na kundi lako la birthday mnatafutiwa sehemu yenu pembeni hukoo muendelee na yenu bila kuleta karaha kwa wengine..Kwan waliokua kwny birthday walkua hawanywi pombe, au pombe kwny birthday ni haramu?
Yaani Bar yenye watu 100 na zaidi tuondoke kupisha birthday ya watu 10 au 15?? Acha undezi jombaa...Nawe kwa nn usiende hizo sehemu nyingine?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jamaa kamchafulia CV yoteDah! wewe kiboko[emoji23][emoji23]
mhh bonge la kingereza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Andika kiswahili tu hicho kingereza chako.mmmmm
😂Unaendesha Lori la kampuni gani?
Hiyo club inajaza Sana madereva wa ma fuso.
Uzi tayari ?Natoka zangu Mwanza nimechoka drive nikasema nipumzike Nzega, Mungu wangu yani mtu ana Birthday yake anaongoza Baa nzima
Mmiliki sikujui ujui ila huu ujinga usikubali tena. Nzega siyo kijiji hapo ni senta ya nchi na nje ya nchi miye nimeondoka baada ya huo ujinga so mmiliki wa hilo eneo play safe Nzega si porini acha endekeza ujinga uliofanyika jana
Kasulu pia nimeiona hiiHuu ushamba pia nimeuona huko Mpanda, Katavi. Yaani mtu unaenda zako Bar kula bia na mziki mnene unakuta Bar yote ni Birthday ya mtu daaah..