Mwenye CV ya Dokta Mwaka

Mwenye CV ya Dokta Mwaka

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao.

Mara yangu ya kwanza kumjua dokta mwaka ilikuwa 2011 nilipopanga na ndipo ukweni kwake.

Ila huyu jamaa miaka ya nyuma alikuwa Sheik wa tiba za dua kuondoa majini.

Sijui alisoma upepo kipindi cha nyuma tiba asili ziliwapa pesa sana watu kama marehemu dokta tamba.

Mimi nayofahamu ni hayo
 
Alienda kusoma india kozi fupi za dawa za asili

Nakwambia sahv anajua bawasili huwez mwambia kitu kwa siku anapiga mamilion ya kutosha

Ukimsikiliza unaweza zani kuwa hakuna ugonjwa ambao hawez kuutibu kumbe ni mbwembwe tu kuna watu wanapoteza mpaka milioni na hawafanikishi lolote,kama kwenye inshu za ugumba amepiga hela sana
 
Alienda kusoma india kozi fupi za dawa za asili

Nakwambia sahv anajua bawasili huwez mwambia kitu kwa siku anapiga mamilion ya kutosha

Ukimsikiliza unaweza zani kuwa hakuna ugonjwa ambao hawez kuutibu kumbe ni mbwembwe tu kuna watu wanapoteza mpaka milioni na hawafanikishi lolote,kama kwenye inshu za ugumba amepiga hela sana
Jamaa ni mjanja mjanja sana. Enzi hizo alikuwa ana kipindi kila tv station! Akiongelea ishu ya mwanamke kutokupata mtoto, unaweza ukadhani ana tibu kweli!

Kumbe anananua tu malimao na mapapai sokoni, anaweka kwenye makopo! Halafu anawauzia watu kwa shilingi laki 3 mpaka laki 3 na nusu za Kitanzania kwa dozi moja! Eti ndiyo tiba mbadala!!

Nashangaa kuna watu mpaka leo wanaliwa hela na huyu kiumbe. Wizi mtupu.
 
Dokta mwaka ni mpambanaji ni ukweli na kwa sasa namuona ni daktari bingwa wa tiba mbadala , elimu yake kiundani zaidi siifahamu ila ninachojuwa alijifunza tu tiba asili na akabobea.
Juma Mwaka ni tapeli kama matapeli wengine tu wanao wadanganya watu kupitia hiyo kauli mbiu yao ya ya kitapeli; ya tiba mbadala.
 
Back
Top Bottom