Ahah yeyen nani sasa a asiachwe[emoji849][emoji849][emoji849]KWELI NIMEAMINI MGANGA HAJIGANGI DOKTA MWAKA NA MAJIVUNO YOTE YALE NA KAACHWA[emoji855]
Dokta mwaka ni mpambanaji ni ukweli na kwa sasa namuona ni daktari bingwa wa tiba mbadala , elimu yake kiundani zaidi siifahamu ila ninachojuwa alijifunza tu tiba asili na akabobea.Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao...
Wanaachwa kina kanye west, jay z, bill gatte sembuse dkt mwakaKWELI NIMEAMINI MGANGA HAJIGANGI DOKTA MWAKA NA MAJIVUNO YOTE YALE NA KAACHWA[emoji855]
Mkuu dokta mwaka kajifunzia kenya hapo.Alienda kusoma india kozi fupi za dawa za asili...
Ndipo wakaanza migogoro na hamis kDokta mwaka ni mpambanaji ni ukweli na kwa sasa namuona ni daktari bingwa wa tiba mbadala , elimu yake kiundani zaidi siifahamu ila ninachojuwa alijifunza tu tiba asili na akabobea.
Jamaa ni mjanja mjanja sana. Enzi hizo alikuwa ana kipindi kila tv station! Akiongelea ishu ya mwanamke kutokupata mtoto, unaweza ukadhani ana tibu kweli!Alienda kusoma india kozi fupi za dawa za asili
Nakwambia sahv anajua bawasili huwez mwambia kitu kwa siku anapiga mamilion ya kutosha
Ukimsikiliza unaweza zani kuwa hakuna ugonjwa ambao hawez kuutibu kumbe ni mbwembwe tu kuna watu wanapoteza mpaka milioni na hawafanikishi lolote,kama kwenye inshu za ugumba amepiga hela sana
Juma Mwaka ni tapeli kama matapeli wengine tu wanao wadanganya watu kupitia hiyo kauli mbiu yao ya ya kitapeli; ya tiba mbadala.Dokta mwaka ni mpambanaji ni ukweli na kwa sasa namuona ni daktari bingwa wa tiba mbadala , elimu yake kiundani zaidi siifahamu ila ninachojuwa alijifunza tu tiba asili na akabobea.
Kaachwa Manara huyu nani asiachwe?KWELI NIMEAMINI MGANGA HAJIGANGI DOKTA MWAKA NA MAJIVUNO YOTE YALE NA KAACHWA🤒
Kaachwa Bill Gates itakua yeyeKWELI NIMEAMINI MGANGA HAJIGANGI DOKTA MWAKA NA MAJIVUNO YOTE YALE NA KAACHWA[emoji855]