mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
sio muumin sana wa filamu siku hizi.Punguza kuangalia filamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio muumin sana wa filamu siku hizi.Punguza kuangalia filamu
Profit mkuuMkuu, inategemea na eneo alipo aisee na hiyo 20k unamaanisha net profit sio?
Kuna eneo, sh 10k unanunua parachichi moja, embe dodo mbili/tatu na ndizi mbivu 10, imekwenda!
- Mtu mmoja kutumia 20k hapo ni kawaida.
Nilisha ifanya miaka 2006–2010 , nilikuwa kwenye matunda per day unapata 20–40 elfuSiku ukiingia kwenye ulimwengu wa biashara utafuta kauli yako japo hamnahamna hapo 20000 Kwa siku hakosi
Mtaji wa hapo na mzunguko kaka kama upo ni njia ya kupata utajiri kibongo bongo. Starting pointDuh, kumbe huo ni utajiri tayari.?
Kwa kuwa wengi wanaanxia wawili sikubishiiNapasua kwenye mshono!!
Mwenye genge kama hili akiwa eneo zuri lenye mzunguko wa pesa anaweza akawa na kipato kizuri kuliki watumishi wengi wa umma!View attachment 3152400
Tunaita biashara ya kuoza hiyo, full stressNapasua kwenye mshono!!
Mwenye genge kama hili akiwa eneo zuri lenye mzunguko wa pesa anaweza akawa na kipato kizuri kuliki watumishi wengi wa umma!View attachment 3152400
Acha kuwadanganya wenzako mfanyakazi wa umma ni wa umma tu serikalini wanakulia kivulini..Napasua kwenye mshono!!
Mwenye genge kama hili akiwa eneo zuri lenye mzunguko wa pesa anaweza akawa na kipato kizuri kuliki watumishi wengi wa umma!View attachment 3152400
Anaweza kuwa mtumishi wa umma ndiye mmiliki wa genge hili...!😎😎Napasua kwenye mshono!!
Mwenye genge kama hili akiwa eneo zuri lenye mzunguko wa pesa anaweza akawa na kipato kizuri kuliki watumishi wengi wa umma!View attachment 3152400
Unaangalia sana movie mzee waksz😁😁Genge dah! Mi akili yangu imewaza mambo ya mafia na cartels.