Mwenye journal aliyoandika Waziri wa Madini, Dotto Biteko (PhD) inaomba aiweke hapa tafadhali

Mwenye journal aliyoandika Waziri wa Madini, Dotto Biteko (PhD) inaomba aiweke hapa tafadhali

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.

Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.
 
20220531_205354.jpg
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.

Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.
Babu yako alikuwa na digri ngapi? Yale Yale ya kumsakama Hayati JPM ATI ana PHd feli.mkipotezwa mnalalamika .PHd yake ndiyo imefanya maisha kuwa magumu?
 
Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.

Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.
Nafikiri hujui unachouliza! Duniani kote watu hawwandiki journal! Kinacho andikwa ni paper ambayo ina jumuisha tafiti mtu aliyo fanya na njia aliyo tumia na pia results etc! Halafu hii paper inatumwa kwenye journal inayohusika na maswala yanayo fanana na utafiti uliofanywa. Hiyo journal inapokea paper nyingi za watafiti tofauti na kuyachapisha.
Hivyo kusema Biteko aandike Journal unamuona na wewe hujui unachokitaka kutoka kwake!
Au unataka kusoma thesis yake, au paper yoyote aliyo publish kwenye journal yoyote? Unataka nini?
 
Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.

Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.


Kila mtu anajua ukweli huwezi kupata PHD ukiwa na kazi ya uwaziri labda kama hufanyi kazi yako kama inavyotakiwa. PHD una miaka 2 ya darasani na 2 research kwa wastani wanasoma vitabu 90.

Tusishangae hizi PHD za kugaiwa na uheshimiwa yaani walimu wako wanakuita muheshimiwa!
 
Nafikiri hujui unachouliza! Duniani kote watu hawwandiki journal! Kinacho andikwa ni paper ambayo ina jumuisha tafiti mtu aliyo fanya na njia aliyo tumia na pia results etc! Halafu hii paper inatumwa kwenye journal inayohusika na maswala yanayo fanana na utafiti uliofanywa. Hiyo journal inapokea paper nyingi za watafiti tofauti na kuyachapisha.
Hivyo kusema Biteko aandike Journal unamuona na wewe hujui unachokitaka kutoka kwake!
Au unataka kusoma thesis yake, au paper yoyote aliyo publish kwenye journal yoyote? Unataka nini?
Alikuwa anawatafuta wakumjibu naona ameshatuliza masaburi.
 
Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.

Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.
Nasikitika sana mkuu wangu 'peno hasegawa', kwani ni wazi hujui unachotaka upewe.

"Journa" ni kitu gani, na itahusiana vipi na Ph.D. ya huyo unayetaka kumlipua?

"Journal" haina uhusiano wowote na kiwango cha elimu alichonacho mhusika. Hata yule binti yako wa miaka 14, atakuwa na "Journal" (Diary), ambayo hatapenda wewe uisogelee karibu. Na wenyewe hawapendi kuiita "diary", bali 'Journal"

Maana nyingine ya "Journal" ni majarida yanayochapisha maandiko ya tafiti ya kitaaluma, wenyewe wanaziita 'papers'.

Hakuna taasisi yoyote ya elimu duniani inayo ainisha kiwango cha elimu ya mtunukiwa ikihusiana na "journal".

Inawezekana umechanganya "Thesis", au hata "Disertation" na hiyo "Journal."

Na kama unatafuta maandiko hayo niliyokuwekea hapo, basi njia rahisi ya kuyapata ni kwenda kwenye maktaba alikopata hiyo Ph.D. yake. Ni taratibu duniani kote kuwa na uhifadhi wa maandishi ya namna hiyo kwenye maktaba husika.
 
Babu yako alikuwa na digri ngapi? Yale Yale ya kumsakama Hayati JPM ATI ana PHd feli.mkipotezwa mnalalamika .PHd yake ndiyo imefanya maisha kuwa magumu?

Kwahiyo mkiambiwa ukweli mnapoteza watu?
 
Nasikitika sana mkuu wangu 'peno hasegawa', kwani ni wazi hujui unachotaka upewe.

"Journa" ni kitu gani, na itahusiana vipi na Ph.D. ya huyo unayetaka kumlipua?

"Journal" haina uhusiano wowote na kiwango cha elimu alichonacho mhusika. Hata yule binti yako wa miaka 14, atakuwa na "Journal" (Diary), ambayo hatapenda wewe uisogelee karibu. Na wenyewe hawapendi kuiita "diary", bali 'Journal"

Maana nyingine ya "Journal" ni majarida yanayochapisha maandiko ya tafiti ya kitaaluma, wenyewe wanaziita 'papers'.

Hakuna taasisi yoyote ya elimu duniani inayo ainisha kiwango cha elimu ya mtunukiwa ikihusiana na "journal".

Inawezekana umechanganya "Thesis", au hata "Disertation" na hiyo "Journal."

Na kama unatafuta maandiko hayo niliyokuwekea hapo, basi njia rahisi ya kuyapata ni kwenda kwenye maktaba alikopata hiyo Ph.D. yake. Ni taratibu duniani kote kuwa na uhifadhi wa maandishi ya namna hiyo kwenye maktaba husika.
Well defended, otherwise the person who asked about journal is neither unaware about it nor knowledgeable about journal, desertation and thesis
 
Nafikiri hujui unachouliza! Duniani kote watu hawwandiki journal! Kinacho andikwa ni paper ambayo ina jumuisha tafiti mtu aliyo fanya na njia aliyo tumia na pia results etc! Halafu hii paper inatumwa kwenye journal inayohusika na maswala yanayo fanana na utafiti uliofanywa. Hiyo journal inapokea paper nyingi za watafiti tofauti na kuyachapisha.
Hivyo kusema Biteko aandike Journal unamuona na wewe hujui unachokitaka kutoka kwake!
Au unataka kusoma thesis yake, au paper yoyote aliyo publish kwenye journal yoyote? Unataka nini?
Yaani jama kampaisha sana Biteko; ataonekana bora sana
 
Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.

Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.
Unamaanisha publication? maana kuandika journal itakuwa kazi ya editors.
 
Nadhani ulimaanisha dissertation.

Naomba ya waziri wa sasa wa fedha ipandishwe hapa jukwaani kuna kitu nataka kujua, Ahsante.
 
Hapa atakuwa anamanisha paper aliyo-Publish
Navyojua baadhi ya vyou ili utimize kigezo cha PhD lazima u- publish at least paper 2 kwenye Recognized international journal pamoja na kuandika dissertation
 
Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.

Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.
mbona wewe si wa kwanza kuuliza , na hakuna majibu !
 
Mtoa mada inawezekana haya mambo huyafahamu vizuri au labda ni mgeNI.

PhD inapatikana kwa kusoma darasani, kuandakia dessertation na ku i defend hiyo dissertation.

Hiyo mambo ya sijui umeandika journal, hiyo ni mtu mwenyewe kwa mapenzi yake aamue kuandika journal ila hata asipoandika haimuondolei sifa ya Phd yake. Wanaokimbizana kuandika journal ni PhD holders waliopo kwenye academic ambao wao ku publish ni issue ya msingi sana NA LAzima.

By the way, dissertation huwa ni mali za vyuo vikuu, so kama unajua huyo bwana Phd yake aliipatia wAPi, ni suala la KweNda kwEnye chUO HUSIKA UKAOMBE HIYO DISSERTATION. I hope itakuwepo maana mtu huwez pewa pHD BILA KU DEFEND DISSErTation.
 
Back
Top Bottom