Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
PHD za Biteko, Jafo, na Nchemba naweza kusema wote ni Manyagayanza in mwl voice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf imeingiliwa na wenye degree Za chupiNafikiri hujui unachouliza! Duniani kote watu hawwandiki journal! Kinacho andikwa ni paper ambayo ina jumuisha tafiti mtu aliyo fanya na njia aliyo tumia na pia results etc! Halafu hii paper inatumwa kwenye journal inayohusika na maswala yanayo fanana na utafiti uliofanywa. Hiyo journal inapokea paper nyingi za watafiti tofauti na kuyachapisha.
Hivyo kusema Biteko aandike Journal unamuona na wewe hujui unachokitaka kutoka kwake!
Au unataka kusoma thesis yake, au paper yoyote aliyo publish kwenye journal yoyote? Unataka nini?
Hapa ninamaanisha paper aliyo-PublishNasikitika sana mkuu wangu 'peno hasegawa', kwani ni wazi hujui unachotaka upewe.
"Journa" ni kitu gani, na itahusiana vipi na Ph.D. ya huyo unayetaka kumlipua?
"Journal" haina uhusiano wowote na kiwango cha elimu alichonacho mhusika. Hata yule binti yako wa miaka 14, atakuwa na "Journal" (Diary), ambayo hatapenda wewe uisogelee karibu. Na wenyewe hawapendi kuiita "diary", bali 'Journal"
Maana nyingine ya "Journal" ni majarida yanayochapisha maandiko ya tafiti ya kitaaluma, wenyewe wanaziita 'papers'.
Hakuna taasisi yoyote ya elimu duniani inayo ainisha kiwango cha elimu ya mtunukiwa ikihusiana na "journal".
Inawezekana umechanganya "Thesis", au hata "Disertation" na hiyo "Journal."
Na kama unatafuta maandiko hayo niliyokuwekea hapo, basi njia rahisi ya kuyapata ni kwenda kwenye maktaba alikopata hiyo Ph.D. yake. Ni taratibu duniani kote kuwa na uhifadhi wa maandishi ya namna hiyo kwenye maktaba husika.
Hapa ninamaanisha paper aliyo-PublishMtoa mada inawezekana haya mambo huyafahamu vizuri au labda ni mgeNI.
PhD inapatikana kwa kusoma darasani, kuandakia dessertation na ku i defend hiyo dissertation.
Hiyo mambo ya sijui umeandika journal, hiyo ni mtu mwenyewe kwa mapenzi yake aamue kuandika journal ila hata asipoandika haimuondolei sifa ya Phd yake. Wanaokimbizana kuandika journal ni PhD holders waliopo kwenye academic ambao wao ku publish ni issue ya msingi sana NA LAzima.
By the way, dissertation huwa ni mali za vyuo vikuu, so kama unajua huyo bwana Phd yake aliipatia wAPi, ni suala la KweNda kwEnye chUO HUSIKA UKAOMBE HIYO DISSERTATION. I hope itakuwepo maana mtu huwez pewa pHD BILA KU DEFEND DISSErTation.
PhD kama hujapata , unastahili mkuu kupewa mkuu. Asante kwa kuwaelewesha vilaza wengine humu JfHapa atakuwa anamanisha paper aliyo-Publish
Navyojua baadhi ya vyou ili utimize kigezo cha PhD lazima u- publish at least paper 2 kwenye Recognized international journal pamoja na kuandika dissertation
Hapa ninamaanisha paper aliyo-PublishNadhani ulimaanisha dissertation.
Naomba ya waziri wa sasa wa fedha ipandishwe hapa jukwaani kuna kitu nataka kujua, Ahsante.
Ndalichako usimsahau tafadhaliPHD za Biteko, Jafo, na Nchemba naweza kusema wote ni Manyagayanza in mwl voice
Eee walaaa maana sina uhakika thesis aliitetea kwa kiha.Ndalichako usimsahau tafadhali
Mbona hata hujui unachokitafuta? Watu wakitetea PhD wanaandika "journal" ?Watanzania wenye kuisoma au waliyonayo journal aliyoiandika Doto Biteko (PhD) ninaomba tafadhali.
Thread hii ijibiwe na watu wenye majibu seriously kwani ikikosekana tunataka kuweka jina lake kwenye Orodha ya mafisadi wa Elimu.
Bado kuna tatizo mkuu.Hapa ninamaanisha paper aliyo-Publish
Navyojua baadhi ya vyou ili utimize kigezo cha PhD lazima u- publish at least paper 2 kwenye Recognized international journal pamoja na kuandika dissertation
Hakuna majibu zaidi ya kununua PhD fake hizi ndiyo maana hazina mafufaa kwa nchiMleta mada kaeleweka tupeni majibu tafadhali.
Ha ha haCc Ben Saanane
Acha kudhalilisha ukoo wakoBabu yako alikuwa na digri ngapi? Yale Yale ya kumsakama Hayati JPM ATI ana PHd feli.mkipotezwa mnalalamika .PHd yake ndiyo imefanya maisha kuwa magumu?
Kwa hio wewe ulitaka elimu yake na alichoandika kiwe siri? Maana kinyume cha uwazi ni usiriBabu yako alikuwa na digri ngapi? Yale Yale ya kumsakama Hayati JPM ATI ana PHd feli.mkipotezwa mnalalamika .PHd yake ndiyo imefanya maisha kuwa magumu?
Nenda library ya udsm paper zake zipo kibaoEee walaaa maana sina uhakika thesis aliitetea kwa kiha.