peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Zanzibar kwa samaki na karafuu hapo sawa.Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Inaenda kumtembeza Mzee Amir sijui Hafidh😁😁 ila JFKuna ndege inashinda bara kilimanjaro na kanda ya ziwa kisha inalala zanzibar
Inakusanya tanzanite na almasi au unamaanisha nini mkuu??Kuna ndege inashinda bara kilimanjaro na kanda ya ziwa kisha inalala zanzibar
Lulu na MarjanMwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Umeelewa ulichokiandika? Kuwa kama expo 2020 ndo nini?Mafuta,
Mafuta nayo ni madini
Yapo mengi sana,
Yaani wazenji wakiachiwa watumie hii kitu mwaka tu wanakuwa kama expo 2020
Wengine tunaandika na kuongea kwa balagha,Umeelewa ulichokiandika? Kuwa kama expo 2020 ndo nini?
Mafuta ya nazi ni madini???Mafuta,
Mafuta nayo ni madini
Yapo mengi sana,
Yaani wazenji wakiachiwa watumie hii kitu mwaka tu wanakuwa kama expo 2020
No sizungumzii mafuta ya naziMafuta ya nazi ni madini???
Kuna ndege inashinda bara kilimanjaro na kanda ya ziwa kisha inalala zanzibar
Zanzibar wameanza hizo stori za kuwa na hayo mmafuta tangu niko skuli sasa nina wajukuuNo sizungumzii mafuta ya nazi
Ni mafuta ya petrol, dizeli na mengineyo ya aina hiyo,
Kama hutaki basi,Zanzibar wameanza hizo stori za kuwa na hayo mmafuta tangu niko skuli sasa nina wajukuu
Ya nazi mnayo mengi tu,hayo mengine mkiyapata mtavunja na muunganoKama hutaki basi,
Hakuna ataekulazimisha,
Ila mafuta yapo tene mengi tu
Gesi asilia maeneo ya uroa,paje,michamviMwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha