Mwenye kujua dawa ya kinganganizi jamani(luba)

Mwenye kujua dawa ya kinganganizi jamani(luba)

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Mwenzenu nimebahatika mwezi sasaa na shangazi kaja moja la znz ananlaza na nje ya nyumba kabisa

Yaan limetokea kunipenda hatqree
Nikipelekea moto hataki nrudi nyumban tu a spend kama wiki nzima ndio anarudi znz

She is sor romantic
Lovely
Sijui nisemeje
Hapa nimekaa nkawaza mwenye kujua dawa ya kinganganizi jamani tulinde mahusiano yetu

Maana kuwapata wenye upendo kama huyu nadra sanaaaaaaaaa

Pls help
 
Anaelalamika ndoa ngumu amelogwaa yaan we tengeneza mbadala wa kufanana nawewee utafurahiaa sana kama vipi oga majiyabaharii na chumvi mawee m hamad sikuhizi hamwoni makelele ya post za ndoa wengine tulikuwa tunajisema live kimyakimya mapito yetu
Kwikwikwi
 
Nasubiria ahii dawa wapendwaa najua wale wazee wa mashangazi mpoo wengi humu mwenzenu mgen nimefuma na langu tupeana njia za kutatunza yasichomoke
 
Yaan likija naongezeka gafla furaha ya moyoni mpaka kule kwa .......
 
Dawa ya kinganganizi ili abaki zaidi au akuache?
 
Kula sana sea food, oga maji ya bahari,asubuhi na jioni tembea peku ufukweni 1km. Upo Unguja sehemu gani
 
downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom