oven ya umeme na jiko ipi ni nzuri?Majiko kwa ubora:
1. Ariston-bei imesimama, ila ubora, durability na upekee
2. Delta ya pili kwa ubora na bei ni juu ya westpoint, nikai, beko
3. Venus hii ni ya tatu kwa ubora bei ni chini ya delta na iko kidogo juu ya westpoint, nikai, beko na mo electro.
Vitu vingine vya kuangalia ni:
1. Uwezo wako. Kama pesa siyo shida nunua ariston
2. Unataka yenye oven ya gesi au umeme
3. Size ya jiko. 50*50, 50*60, 60*60 au zaidi
Oven ya umeme na jiko?Sijakuelewa boss.oven ya umeme na jiko ipi ni nzuri?
Sijakuelewa boss. Oven ya umeme na jiko?
Sijakuelewa boss. Oven ya umeme na jiko?
Nina jiko la hawa jamaa tangu 2012 najiuliza litachakaa lini maana ni kama nimenunua mwezi huu, liko efficient sanaWestpoint
Gas oven ni nzuri kwa kuwa inapata joto haraka na inatumia gas kidogo kuoka. Gesi ina madhara kwako na mazingiri ila haitatoboa mfuko wako.Nafikiri anamaanisha Oven ya Umeme au Gas ipi nzuri?
Nimeipenda avatar yako. Ukienda mlongazila wakakuongezea kidoooogo utatisha sana.Sijajua sasa kama ndiyo jina la kampuni, ukienda dukani jaribu kuwauliza ila ni zuri sana
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Nimeikuta huko mtandaoni mkuu, asante kwa niabaNimeipenda avatar yako. Ukienda mlongazila wakakuongezea kidoooogo utatisha sana.
Hata nyama ukiichoma kwa gas inakua na kaharufu flani ka gas.Gas oven ni nzuri kwa kuwa inapata joto haraka na inatumia gas kidogo kuoka. Gesi ina madhara kwako na mazingiri ila haitatoboa mfuko wako.
Oven ya umeme ya kisasa ni nzuri kwa kuwa inapata joto haraka na ni nzuri kwa mazingira na kwa afya ya mtumiaji. Ila inakula umeme kama Brevis anavyokula wese kwa hiyo ujishike