Mwenye kujua mbinu za kusevu pesa aniambukize jamani,

Mwenye kujua mbinu za kusevu pesa aniambukize jamani,

Punguza unnecessary hangouts

Kusave pesa haijawahi kuwa kazi rahisi mkuu, hata kama mshahara ni mkubwa, utajitahidi kuzitunza lakini zitaisha tu bila hata kutegemea na ukijiuliza cha maana ulichofanyia wakati mwingine hukioni.

Nakushauri kama umeona umeshindwa kabisa fanya haya yafuatayo:

1. Tafuta project ya kufanya halafu kakope pesa benki utakuwa unarejesha polepole kulingana na utaratibu utakowekwa.
2. Nasikia kuna account zinaitwa malengo account kwenye mabenki kadhaa, kaziweke huko kwa muda utakaokuwa umeridhia mwenyewe kulingana na utaratibu wa benki husika.( japo hii siiafiki sana ).

Nimezungumzia kwa wale waajiriwa na pesa yao inakatwa moja kwa moja kwenye mshahara, kitakachokuwa kimebaki naamini utakitumia kwa nidhamu ya hali ya juu.

Kwa waliojiajiri wenyewe nawashauri waongeze mtaji kutoka kwenye faida wanayopata, kuwa na pesa nyingi zilizotunzwa ni kukaribisha ibilisi hatari sana wa matumizi.

Kwa wale walioweza kutunza pesa kwa muda mrefu niwapongeze sana maana ni kipaji na uvumilivu wa hali ya juu sana.

Kwa sasa ni hayo tu mkuu.
 
Kusave pesa haijawahi kuwa kazi rahisi mkuu, hata kama mshahara ni mkubwa, utajitahidi kuzitunza lakini zitaisha tu bila hata kutegemea na ukijiuliza cha maana ulichofanyia wakati mwingine hukioni.

Nakushauri kama umeona umeshindwa kabisa fanya haya yafuatayo:

1. Tafuta project ya kufanya halafu kakope pesa benki utakuwa unarejesha polepole kulingana na utaratibu utakowekwa.
2. Nasikia kuna account zinaitwa malengo account kwenye mabenki kadhaa, kaziweke huko kwa muda utakaokuwa umeridhia mwenyewe kulingana na utaratibu wa benki husika.( japo hii siiafiki sana ).

Nimezungumzia kwa wale waajiriwa na pesa yao inakatwa moja kwa moja kwenye mshahara, kitakachokuwa kimebaki naamini utakitumia kwa nidhamu ya hali ya juu.

Kwa waliojiajiri wenyewe nawashauri waongeze mtaji kutoka kwenye faida wanayopata, kuwa na pesa nyingi zilizotunzwa ni kukaribisha ibilisi hatari sana wa matumizi.

Kwa wale walioweza kutunza pesa kwa muda mrefu niwapongeze sana maana ni kipaji na uvumilivu wa hali ya juu sana.

Kwa sasa ni hayo tu mkuu.
sawa mkuu
 
Kama umeajiriwa tafuta walioajiriwa wenzako angalau muwe watatu muanze kucheza mchezo

Piga hesabu ya pesa ya kula tu ndo ubaki nayo iliyobaki iwe ndo kiwango cha mchezo.
Mfano unalipwa 10,000 kwa mwezi unakula 3000 kwa, baki na 3000 ya kula kwa mwezi....alafu buku 7 nzima ndo iwe kiwango cha mchezo wenu.

Hii itakusaidia kumake pesa unafanya jambo kubwa ukizipata.
 
Kusave pesa haijawahi kuwa kazi rahisi mkuu, hata kama mshahara ni mkubwa, utajitahidi kuzitunza lakini zitaisha tu bila hata kutegemea na ukijiuliza cha maana ulichofanyia wakati mwingine hukioni.

Nakushauri kama umeona umeshindwa kabisa fanya haya yafuatayo:

1. Tafuta project ya kufanya halafu kakope pesa benki utakuwa unarejesha polepole kulingana na utaratibu utakowekwa.
2. Nasikia kuna account zinaitwa malengo account kwenye mabenki kadhaa, kaziweke huko kwa muda utakaokuwa umeridhia mwenyewe kulingana na utaratibu wa benki husika.( japo hii siiafiki sana ).

Nimezungumzia kwa wale waajiriwa na pesa yao inakatwa moja kwa moja kwenye mshahara, kitakachokuwa kimebaki naamini utakitumia kwa nidhamu ya hali ya juu.

Kwa waliojiajiri wenyewe nawashauri waongeze mtaji kutoka kwenye faida wanayopata, kuwa na pesa nyingi zilizotunzwa ni kukaribisha ibilisi hatari sana wa matumizi.

Kwa wale walioweza kutunza pesa kwa muda mrefu niwapongeze sana maana ni kipaji na uvumilivu wa hali ya juu sana.

Kwa sasa ni hayo tu mkuu.
We unataka afungwe, hawezi kutunzapesa, unamshauri akakope benk, hohoooo,ohoooo, watampiga mnada!
 
ukipata pesa tenga zaka na sadaka peleka kanisani/msikitini, baada ya hapo anza kupanga matumizi, tenga asilimia ya akiba mf. 5% ya mshahara wako, fungua miradi ukiwa na chanzo kimoja cha miradi hutokuja utunze fedha, namna bora ya kutunza fedha ni kufungua miradi, wasaidie wazazi, hii itakuletea baraka na mafanikio katika kazi/biashara zako
 

Attachments

  • warren-buffett-investment-strategybuffet-quotes.jpg
    warren-buffett-investment-strategybuffet-quotes.jpg
    43.5 KB · Views: 50
Back
Top Bottom