Mwenye mtaji wa milioni 20 na hana business idea

Mwenye mtaji wa milioni 20 na hana business idea

Mkuu Husninyo Kama una kampuni watu wakainvest kwako hiyo 20M ukawapa 2% sio mbaya sana maana max interest inavyoagizwa na vyombo husika ni 3.5%.

Ila ungetafuta partners kabisa na ukawasajili kule brela ili mfanye kwa uhakika na kukuza mtaji ingekua powa zaidi
Kwamba vyombo vimeagiza 3.5% per month unaweza nipa reference? Mfano FINCA wanakopesha kwa 6.3% per month ni hii ni deposit taking microfinance. Achana na hiyo guza MPAWA uone riba wanayokupiga kwa mwezi nadhani ni 19% per month. Nyinyi hiyo 3.5% mnaitolea wapi? Naomba reference.
 
Hellow. Kuna fursa katika biashara ya kukopesha watu. Kama una mtaji wa milioni 20 na upo interested na hii biashara njo inbox tuyajenge zaidi. Wateja wapo wa uhakika waliochunjwa kabisa hawana longolongo za marejesho. Kama unaogopa risks za business tulia Tuli. Kama una tamaa ya kutajirika fasta pia tulia tu. Mtaji wa 20M utapata net profit ya 400K kwa mwezi.
Biashara ya higher risk level of investment faida 2% kwa mwezi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji102]

Wenye roho ya paka wanakuja !!!!!
 
Hellow. Kuna fursa katika biashara ya kukopesha watu. Kama una mtaji wa milioni 20 na upo interested na hii biashara njo inbox tuyajenge zaidi. Wateja wapo wa uhakika waliochunjwa kabisa hawana longolongo za marejesho. Kama unaogopa risks za business tulia Tuli. Kama una tamaa ya kutajirika fasta pia tulia tu. Mtaji wa 20M utapata net profit ya 400K kwa mwezi.
Mkianza kukopesha mtuitage hivo hvo tuje tuwaungishe...[emoji849][emoji849]
 
Mtaji wangu wa kuuza chips hauzidi 2m na napiga laki 3—4 kwa mwezi. Hiyo yako kali aisee.

Kwa boya kama mimi inahitaji unipe shule ya kutosha kukuelewa aisee.
 
Mtaji wangu wa kuuza chips hauzidi 2m na napiga laki 3—4 kwa mwezi. Hiyo yako kali aisee.

Kwa boya kama mimi inahitaji unipe shule ya kutosha kukuelewa aisee.
Hebu shule tuanzie hapa.

Cost ya biashara yako ikoje?.

Umeajiri watu?.
Unalipa kodi?.
Una muda ww mwenyewe unaotumia kuisimamia? Au kutafuta material?.
Kuna usumbufu wowote unaoupata kwa siku ili kukamilisha biashara yako?.
Hizi ni cost pia.

Sasa hiyo Mill 20 ya kupata 400k kwa mwez . Hizi mambo zote hazipo.

Inawezekana kuona kuwa sio biashara
Sana ya kaleta faida. Hasa ya haraka.
Ila ikifanyika kwa muda mrefu kidogo ni biashara nzuri.

Hasa kama ikiwa managed vizur.


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwamba vyombo vimeagiza 3.5% per month unaweza nipa reference? Mfano FINCA wanakopesha kwa 6.3% per month ni hii ni deposit taking microfinance. Achana na hiyo guza MPAWA uone riba wanayokupiga kwa mwezi nadhani ni 19% per month. Nyinyi hiyo 3.5% mnaitolea wapi? Naomba reference.



Uko nchi gani wewe

Tena hiyo riba ya mwezi sio kwamba inatakiwa isizidi 3.5% tuu; ila isizidi 3.5% tena reducing

Regulator ndio alishasema
 
Uko nchi gani wewe

Tena hiyo riba ya mwezi sio kwamba inatakiwa isizidi 3.5% tuu; ila isizidi 3.5% tena reducing

Regulator ndio alishasema
Usinisute mama ... hebu nielimishe taratibu nielewe.

Nitakupa mifano 4 ambayo naamini bank kuu wanairegulate.

1. Finca Microfinance bank
Hawa mkopo wa vikundi riba ni 6.3% per month na mtu binafsi 4.8% (Hii nimesahau kidogo ni 4 point ngapi lakini ni dhaidi ya 4%)

2. Letshego Bank
Hawa riba zinapopungua kadiri unavyochukua fedha nyingi. Lakini mkopo mdogo riba zao ni mpaka 8% kwa mwwezi.

3. Unawajua Bayport mama ... hawa sifahamu riba zao lakini kuna wafanyakazi wengi wamelia kwa riba zao. Mwenye kufahamu
atusaidie lakini naamani si chini ya 5% per month.

4. Wa mwisho angalia mikopo ya simu WA VODA, TIGO NA AIRTEL. Jaribu tu kukopa hata 10000 halafu iniambie kweli riba ni
3.5???


Mimi nimekupa mifano ya microfinance ambazo zinachaji riba zaidi ya 3.5%. Na wako toka mwaka 2019 mpaka leo microfinance regulation act ilipoana kufanya kazi mpaka sasa??

Hebu njoo na hoja usije na misuto mama.

NB: Kabla ya kukujibu nimesoma tena microfinance act lakini sijaona sehemu benk kuu wasema ni 3.5 per month riba
 
Usinisute mama ... hebu nielimishe taratibu nielewe.

Nitakupa mifano 4 ambayo naamini bank kuu wanairegulate.

1. Finca Microfinance bank
Hawa mkopo wa vikundi riba ni 6.3% per month na mtu binafsi 4.8% (Hii nimesahau kidogo ni 4 point ngapi lakini ni dhaidi ya 4%)

2. Letshego Bank
Hawa riba zinapopungua kadiri unavyochukua fedha nyingi. Lakini mkopo mdogo riba zao ni mpaka 8% kwa mwwezi.

3. Unawajua Bayport mama ... hawa sifahamu riba zao lakini kuna wafanyakazi wengi wamelia kwa riba zao. Mwenye kufahamu
atusaidie lakini naamani si chini ya 5% per month.

4. Wa mwisho angalia mikopo ya simu WA VODA, TIGO NA AIRTEL. Jaribu tu kukopa hata 10000 halafu iniambie kweli riba ni
3.5???


Mimi nimekupa mifano ya microfinance ambazo zinachaji riba zaidi ya 3.5%. Na wako toka mwaka 2019 mpaka leo microfinance regulation act ilipoana kufanya kazi mpaka sasa??

Hebu njoo na hoja usije na misuto mama.

NB: Kabla ya kukujibu nimesoma tena microfinance act lakini sijaona sehemu benk kuu wasema ni 3.5 per month riba


Ungejua yanayowakuta na kuwasibu viongozi wa baadhi ya hao uliowataja halafu urudi tena na kuacha kuwachongea wengine

Na uzuri umewasemelea hata ambao hawajafikwa kuchochea spidi ya kuwafikia

Tujifunze kufuata taratibu zilizowekwa na tulizozirdhia hata kama hakuna anayetushurtisha vinginevyo ni vilio na kusaga meno tuu hamna namna
 
Kesho au jumatatu fuatilia yanayowakuta na kuwasibu viongozi wa baadhi ya hao uliowataja halafu urudi tena

Na uzuri umewasemelea hata ambao hawajafikwa kuchochea spidi ya kuwafikia

Tujifunze kufuata taratibu zilizowekwa na tulizozirdhia hata kama hakuna anayetushurtisha vinginevyo ni vilio na kusaga meno tuu hamna namna
Hizi taasisi zote nilizokutajia wanapeleka report zao za ukaguzi (external audit report) benk kuu kila mwaka si kwamba benki kuu hawajui kwamba wanachaji 6% au 8% per month wanajua na wanaruhusu so these guys are doing legal business. nyie ndio mnakuja na uswahili wenu wa 3.5%.

Nimekupa task ndogo njoo na kielelezo cha Bot cha hiyo 3.5 unademka tu ... policy and regulations ziko public kwenye web ya BOT kwa ajili ya public consumption.
 
Hizi taasisi zote nilizokutajia wanapeleka report zao za ukaguzi (external audit report) benk kuu kila mwaka si kwamba benki kuu hawajui kwamba wanachaji 6% au 8% per month wanajua na wanaruhusu so these guys are doing legal business. nyie ndio mnakuja na uswahili wenu wa 3.5%.

Nimekupa task ndogo njoo na kielelezo cha Bot cha hiyo 3.5 unademka tu ... policy and regulations ziko public kwenye web ya BOT kwa ajili ya public consumption.



Hujui......

Na kama unajua, basi unajua vya juzi na jana ila hujui vya leo. Na kama sio hivyo basi una taarifa kidogo sana kuhusu tunayoongea na yanayoendelea

Ukiamka kesho nenda kajue ukweli kamili wa mapya yanayoendelea kuhusu hao uliowataja hata na wengine kama unaweza halafu ndio uje tujadili kwa yaliyomo sio yaliyopita

Hata wewe mwenyewe kama uko kwenye hizo 6% au 8% jiangalie ndugu, maana yajayo kwako hayafurahishi

Kumbuka financial institutions zote ziliamriwa kuomba vibali upya, na moja ya kigezo cha kupata vibali ni policy ya kampuni kuwa wazi kwa maswala ya riba isiyozidi 3.5%. Wengi walikua kwenye hizo riba unazozitaja na zaidi na imekua maumivu kubadili lakini hawana budi ku comply na policy
 
Simkosoi mtoa mada ila 20M kwa profit ya 400k..... Kuna jambo haliko sawa hapo.
 
Back
Top Bottom