Napenda kukumbusha hapa n Tanzania chafuz zake znakuwaga pasua kichwa kwaiyo tu kama ujui subr mchnd atangazwe umzaniaye kumbe syee ile msemo ndy inatimiagaWakuu,
Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena.
Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama hivi?
Mbowe ajitafakari sana!
View attachment 3200855