Hapo shida sio kwamba hana kitu bali sio muwazi hakuwa muwazi tangu mwanzo na hii ipo kote kote uwe na hela au Huna, wanaume wengi wanakuwa sio honest na wa kweli kwenye mambo mengiππ nilisema nimvumilie mwenzangu akiwa hana kitu tuishi tu kwakua mimi nna kijikazi tupambane nayeye apate,, kumbe alikotoka kakimbia familia ππππΎ........ in short wadada wanaume wasio na kitu sio wa kuvumilia
ππ€πΎ
ni kweli,,sasa ni heri muongo mwenye manufaa kidogo ππyani unapambania kwenye hamnaHapo shida sio kwamba hana kitu bali sio muwazi hakuwa muwazi tangu mwanzo na hii ipo kote kote uwe na hela au Huna, wanaume wengi wanakuwa sio honest na wa kweli kwenye mambo mengi
Hivi kweli kuna mwanaume hana kitu? au una tafsiri yako mie siijuini kweli,,sasa ni heri muongo mwenye manufaa kidogo ππyani unapambania kwenye hamna
hio hio uliyoelewa wewe mkuuHivi kweli kuna mwanaume hana kitu? au una tafsiri yako mie siijui
Zakuambiwa changanya na zakoNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Kipato anacho sema ni kwamba wewe unaona akitoshelezi kuhandle mahitaji yako but sio kwamba hela hanahio hio uliyoelewa wewe mkuu
acha ubishi na kuamini kilichopo kichwani mwako,,,HAKUA NA CHOCHOTE MTU WA NYUMBANI.Kipato anacho sema ni kwamba wewe unaona akitoshelezi kuhandle mahitaji yako but sio kwamba hela hana
Tufanye ww umeridhika na hiyo hali ya kuzozana,,je,upande wa pili anapenda hizo pogo?? Na je,akikinai mizozano usalama utakuwepo??Ndoa yangu ni salama, occasionally hua tunazozana, but that normal part of human being.
All in all we are good and love each other insanely.
Vincenzo Jr mkuu umenena ukiwa Umevaa miwani elewa nahau πMimi hapa ndoa yangu ipo salama sana ukiona vijana wa skuizi wengi ndoa zao hazipo salama ujue Kuna udanganyifu kati ya mume na mkewe na inapelekea ndoa kuwa ndoano
Turudishe JANDO na UNYAGOπElimu nyingi za ndoa ni kama miluzi mingi kwa mbwa, hizo elimu ni matokeo ya ndoa nyingi kufa.
Ndio maana utaona nyakati ambazo hakukuwa na mautandawazi na hawa motivation speaker wa ndoa kwa wingi, ndoa zilikuwa zinaishi Ila sasa hivi maarifa mengi ya ndoa mtu anajichagulia atakako.. mwisho wa siku chali
Are you sure about this? Don't be a spokeman of someone's heartAll in all we are good and love each other insanely.
Nafikiri hapa ndipo alipomaanisha zaidiHakuna anayemsaliti mwenzake?
Unaalibu mchongo wa wanawake wenzakoKataa ndoa
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha.
Ndoa ni kuuza uhuru wako
Ndoa ni kamari
Mi sii mwanamke broUnaalibu mchongo wa wanawake wenzako
Kweli we sio wa kike?Mi sii mwanamke bro
Wewe ulikubali vipi kuolewa na mtu ambaye bado anawategemea wazazi wake?acha ubishi na kuamini kilichopo kichwani mwako,,,HAKUA NA CHOCHOTE MTU WA NYUMBANI.
Una maana gani kwa kusema ''ndoa salama''? Nauliza kwa sababu kwenye maisha migongano midogo midogo kwa watu waliopo kwenye ndoa ni jambo la kawaida. Au unamaanisha usalama kwenye kuchepuka? Kama ndiyo hilo basi nikuambie kabisa kuwa kuna ndoa salama nyingi sana. Wanaosema hakuna ndoa salama ni wale wachepukaji wanaotafuta sababu za kuchepuka.Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
πwe kuelewa ni ngum aseee kama ukiweza rejea text ya mwanzo palee then uje,,mtu anawategemea wazazi na anafamilia alikotoka(ingawa hakusema),,aliyuuuumba sana.Wewe ulikubali vipi kuolewa na mtu ambaye bado anawategemea wazazi wake?