Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

😁😁 nilisema nimvumilie mwenzangu akiwa hana kitu tuishi tu kwakua mimi nna kijikazi tupambane nayeye apate,, kumbe alikotoka kakimbia familia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ........ in short wadada wanaume wasio na kitu sio wa kuvumilia
😎🀏🏾
Hapo shida sio kwamba hana kitu bali sio muwazi hakuwa muwazi tangu mwanzo na hii ipo kote kote uwe na hela au Huna, wanaume wengi wanakuwa sio honest na wa kweli kwenye mambo mengi
 
Hapo shida sio kwamba hana kitu bali sio muwazi hakuwa muwazi tangu mwanzo na hii ipo kote kote uwe na hela au Huna, wanaume wengi wanakuwa sio honest na wa kweli kwenye mambo mengi
ni kweli,,sasa ni heri muongo mwenye manufaa kidogo πŸ˜„πŸ˜„yani unapambania kwenye hamna
 
Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Zakuambiwa changanya na zako
Binafsi siwezi kufata ushauri wa mtu kwenye swala la ndoa ni issue yangu mm na mwenzi wangu.
 
Mwanamke anakubali kuolewa eti kisa mwanaume ana fedha hali ya kuwa hana hisia za kimapenz na mume wake... Yaani hapo mume atamegewa sana mke wake.
This situation inaondoa usalama wa ndoa
 
Ndoa yangu ni salama, occasionally hua tunazozana, but that normal part of human being.

All in all we are good and love each other insanely.
Tufanye ww umeridhika na hiyo hali ya kuzozana,,je,upande wa pili anapenda hizo pogo?? Na je,akikinai mizozano usalama utakuwepo??
 
Ndio zinatofautiana mkuu wenye ndoa ndio wanaamua iwe salama kwa mambo Fulani Fulani ila sio yote ,silaha kubwa ni kukaa kimya
Mambo Fulani Fulani kama yapi toa CODE hizo tumewachoka motivation speaker
 
Mimi hapa ndoa yangu ipo salama sana ukiona vijana wa skuizi wengi ndoa zao hazipo salama ujue Kuna udanganyifu kati ya mume na mkewe na inapelekea ndoa kuwa ndoano
Vincenzo Jr mkuu umenena ukiwa Umevaa miwani elewa nahau πŸ˜‚
Natania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Elimu nyingi za ndoa ni kama miluzi mingi kwa mbwa, hizo elimu ni matokeo ya ndoa nyingi kufa.

Ndio maana utaona nyakati ambazo hakukuwa na mautandawazi na hawa motivation speaker wa ndoa kwa wingi, ndoa zilikuwa zinaishi Ila sasa hivi maarifa mengi ya ndoa mtu anajichagulia atakako.. mwisho wa siku chali
Turudishe JANDO na UNYAGOπŸ‘
 
Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Una maana gani kwa kusema ''ndoa salama''? Nauliza kwa sababu kwenye maisha migongano midogo midogo kwa watu waliopo kwenye ndoa ni jambo la kawaida. Au unamaanisha usalama kwenye kuchepuka? Kama ndiyo hilo basi nikuambie kabisa kuwa kuna ndoa salama nyingi sana. Wanaosema hakuna ndoa salama ni wale wachepukaji wanaotafuta sababu za kuchepuka.
 
Wewe ulikubali vipi kuolewa na mtu ambaye bado anawategemea wazazi wake?
πŸ˜†we kuelewa ni ngum aseee kama ukiweza rejea text ya mwanzo palee then uje,,mtu anawategemea wazazi na anafamilia alikotoka(ingawa hakusema),,aliyuuuumba sana.
 
Back
Top Bottom