Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Ngoja niingie ntakuwa djMziki wa kule sio poa..
Niliwahi kuchungulia kidogo yakanishinda ahahaha ww yaan watu hatar jamn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niingie ntakuwa djMziki wa kule sio poa..
Niliwahi kuchungulia kidogo yakanishinda ahahaha ww yaan watu hatar jamn
Haya majibu humu ndo wanayapenda.🤸🤸Kataa ndoa
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha.
Ndoa ni kuuza uhuru wako
Ndoa ni kamari
Sema kuna aina wa kuvumilana sio aina ya ndoa unafumania mke wako af unaendelea nae hiyo ni ndoa tena au uvumilivu tu. Wengine wanavumilia kwasbb wanakosa plan B.Nilichojifunza ni kwamba ndoa wala hazifanani. Kila ndoa Ina staili ya utofauti ambao unaweza usifanane na ndoa nyingine. Kunakuwa na vitu vichache sana vya kufanana.
Kuna wengine hata wamfumanie mwenza wake utakuta wanaweza vumilia na kusamehe, lakini kuna wengine wakikuta tu umemtumia mtu mwingine meseji ya ya kimahaba unapata kibuti hapohapo, hakuna No uvumilivu.
Wengine wanaishi kwa kupigana kilasiku. wegine hata ile kuongozana tu kutembea pamoja huwezi kuwaona ili mladi kila ndoa ina staili yake na kunakuwa na tabia za utofauti
Hakika, ni vema kumpa mtu anachokitaka 😹Haya majibu humu ndo wanayapenda.🤸🤸
Ni kweli ndiyo mana nimesema si kwa uhodari wangu bali ni taufiki ya Mungu na tunaendelea kuombeana tubaki pamoja mpaka kifo ndicho kitutenganishe, na pia kumbuka matatizo ni sawa na kurasa lakini ndoa ni kitabu, sasa usikifunge kitabu kwa ajili ya kurasa.Mkuu omba sana mungu muendelee hivo unaweza kua una timing bomb itapasuka mda wowote miaka 24 sio haba ila bado maisha na binaadamu hubadilika ghafra.
I am here, my marriage is heaven here on earthNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
😀😀😀😀Sawa🤣🤣🤣🤣 Endelea na mambo yako dada.
Nio hapa mkuu, unataka nisemaje?Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Ndoa salama ni ile ambayo imebebwa na upendo na amani na isio salama ni ile ambayo inasongombingo, dada yangu ukiingia kwenye ndoa ndio utajua kuwa na mwanaume tall, black sio vitu vya msingi bado ujapitia changamoto wewe, wanawake wanajua ndoa ni nini na mahitaji yake ni yapi na yupi ni sahihi wa kuingia nae kwenye ndoa huwezi kukuta wanaangalia mwanaume kwa kigezo cha utall au Black wanachoangalia je huyo mtu wake unafaa kuwa baba mzuri kwa watoto wake? Ana upendo? Ana uwezo wa kubeba majukumu kama baba? Anajitambua? Ana tabia njema nk sio mlevi n.kthadayo Ungefafanua Kwanza maana ya ndoa salama na ndoa isiyo salama Ili Poor Brain anambie mziki gani ulioko kwenye ndoa.
Ulikutana na changamoto zipi? ili iwe elimu kwa wanaotaka kuingia kwenye ndoaaloooh 😂🙌🏾 sina hamu kabsa na huo mziki nmetoka ndukiii
😁😁 nilisema nimvumilie mwenzangu akiwa hana kitu tuishi tu kwakua mimi nna kijikazi tupambane nayeye apate,, kumbe alikotoka kakimbia familia 😂😂🙌🏾........ in short wadada wanaume wasio na kitu sio wa kuvumiliaUlikutana na changamoto zipi? ili iwe elimu kwa wanaotaka kuingia kwenye ndoa
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😁😁 nilisema nimvumilie mwenzangu akiwa hana kitu tuishi tu kwakua mimi nna kijikazi tupambane nayeye apate,, kumbe alikotoka kakimbia familia 😂😂🙌🏾........ in short wadada wanaume wasio na kitu sio wa kuvumilia
😎🤏🏾
Unamaanisha nini kwa kusema "Ndoa salama"? tuanzie hapa ili tusije kutoa shuhuda ambazo ni irrelevantNdio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
mie sina kitu ila naweza kukusaidia, huu ni ushuhuda kabisa😁😁 nilisema nimvumilie mwenzangu akiwa hana kitu tuishi tu kwakua mimi nna kijikazi tupambane nayeye apate,, kumbe alikotoka kakimbia familia 😂😂🙌🏾........ in short wadada wanaume wasio na kitu sio wa kuvumilia
😎🤏🏾
Wazee wa kataa ndoa kuna point 3 za bure zipo hapaNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.