Mwenye nguvu mpishe: Watu wa makundi haya hawagusiki kirahisi, wana nguvu kubwa sio wa kugombana nao utazama kwenye kina kirefu

Mwenye nguvu mpishe: Watu wa makundi haya hawagusiki kirahisi, wana nguvu kubwa sio wa kugombana nao utazama kwenye kina kirefu

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Wateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.

Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.

Wahindi na Waarabu - $$$ (top 20 ya matajiri wanapokezana namba), Connections nzito, Exposure, umoja.

Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu
 
Hapo kwa mapoti hapo. Usianzishe nao ligi , labda uwe una back up nzito nyuma yako.
Miaka fulani Mahala fulani sitapataja madaktari walikuwa na ugomvi na mapolisi.. Ilikuwa daktari akikutwa na shida yoyote anawekwa Selo.. Madaktari nao wakaanza.. Kila polisi aliyeenda hospitali alikufa.. Polisi wakapeleka mpelelezi wao hospital .. Alikuwa na kidonda mguuni.. Alipofika hospitali naye akafa..
 
Miaka fulani Mahala fulani sitapataja madaktari walikuwa na ugomvi na mapolisi.. Ilikuwa daktari akikutwa na shida yoyote anawekwa Selo.. Madaktari nao wakaanza.. Kila polisi aliyeenda hospitali alikufa.. Polisi wakapeleka mpelelezi wao hospital .. Alikuwa na kidonda mguuni.. Alipofika hospitali naye akafa..
😂 Duu mkuu na hadithi ikaishia hapohapo au utakuja kuimalizia?
 
Wateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.

Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.

Wahindi na waarabu

watu wao wa karibu - watoto, nfugu, wazazi, marafiki wa karibu
Pamoja na kwamba watu wote wana haki sawa, ulipotaja kuogopa wahindi na waarabu imethibitisha kabisa kuwa fikra zako ni mbaya na haziwezi kulisaidia taifa.
Tunahitaji kujenga fikra za watu wetu wajiamini, wapambane kulitetea taifa lao.
 
Miaka fulani Mahala fulani sitapataja madaktari walikuwa na ugomvi na mapolisi.. Ilikuwa daktari akikutwa na shida yoyote anawekwa Selo.. Madaktari nao wakaanza.. Kila polisi aliyeenda hospitali alikufa.. Polisi wakapeleka mpelelezi wao hospital .. Alikuwa na kidonda mguuni.. Alipofika hospitali naye akafa..
Hii imekaa vzr mno!!
All the best
 
Back
Top Bottom