Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hodari sana wewe.Mi siwaogopi wala nini? Simuogopi binadamu yoyote
Yuko wapi huyo Darwin?Kama ipo sababu ya msingi pambana,
Darwin alisema hapa dunian tuna play Survival Game,
Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!Hodari sana wewe.
Isiwe unabwabwaja nyuma ya keyboard tu, ingia mitaani tukuone.
Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Mimi naogopa tena sana, wapi nilisema siogopi?Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Kicheko Kicheko
Hoja Maridadi.
Soma upya ureview na comment nlokuquote mbona umekaa kupinga pinga muda wote wewe Bibi.Mimi naogopa tena sana, wapi nilisema siogopi?
Unaumwa au unaota?
Nipo mtaani muda huu bibi yangu! Humu sio facebook siwezi kuweka jina la kweliHodari sana wewe.
Isiwe unabwabwaja nyuma ya keyboard tu, ingia mitaani tukuone.
Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Mimi naogooa tena sana, wapi nilisema siogopi?Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Kicheko Kicheko
Hoja Maridadi.
Mtaa wa maporini?Nipo mtaani muda huu bibi yangu! Humu sio facebook siwezi kuweka jina la kweli
Hao wote wakiumwa na mafua utawaonea huruma, bora pangu pakavu anajikazaWateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.
Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.
Wahindi na Waarabu - $$$ (top 20 ya matajiri wanapokezana namba), Connections nzito, Exposure, umoja.
Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu
Chuma haliwa na kutu,jabali humeng'enywa na kua udongo, nothing stays strong forever ila ktk nyakati zako fear no oneYuko wapi huyo Darwin?