Mwenye nguvu mpishe: Watu wa makundi haya hawagusiki kirahisi, wana nguvu kubwa sio wa kugombana nao utazama kwenye kina kirefu

Mwenye nguvu mpishe: Watu wa makundi haya hawagusiki kirahisi, wana nguvu kubwa sio wa kugombana nao utazama kwenye kina kirefu

Wafanyabiashara wakubwa alikuwepo mzee mengi ukijichanganya regardless of your power or position
Masha alikutana na mziki wa yule mzee haijulikani yuko wapi
Manji aliona ameshinda hadi pale alipokuja kukutana na right time ya mengi n.k
Aisee, umenikumbusha ya Mengi na Masilingi.
 
Wateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.

Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.

Wahindi na Waarabu

Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu
Kwakweli mimi binafsi mtu wa kunishinda ni Raisi,makamu,waziri mkuu,mkuu wa polisi na viongozi wachache wajeshi na mkuu wa usalama wa taifa ila hao wengine sijui mkurugenzi,mkuu wa wilaya,wa mkoa na wengine naweza kushindana nao tu
 
Hapo kwa mapoti hapo. Usianzishe nao ligi , labda uwe una back up nzito nyuma yako.
Sio kweli kwasababu tumewahi kushindana na kanali fulani kwenye mgogoro wa ardhi masoko na tukamshinda japo alitia mikwara sana ila bahati mbaya kwake ni kwamba mimi nimezaliwa pwani
 
Sio kweli kwasababu tumewahi kushindana na kanali fulani kwenye mgogoro wa ardhi masoko na tukamshinda japo alitia mikwara sana ila bahati mbaya kwake ni kwamba mimi nimezaliwa pwani
🤣🤣
.....pwani huko ulimsomea ALBADIRI ama ulimtumia "faras bahri ahmar mwekundu upanga mkononi"?!!
 
Miaka fulani Mahala fulani sitapataja madaktari walikuwa na ugomvi na mapolisi.. Ilikuwa daktari akikutwa na shida yoyote anawekwa Selo.. Madaktari nao wakaanza.. Kila polisi aliyeenda hospitali alikufa.. Polisi wakapeleka mpelelezi wao hospital .. Alikuwa na kidonda mguuni.. Alipofika hospitali naye akafa..
Hatari sana
 
Wateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.

Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.

Wahindi na Waarabu - Top 20 ya matajiri wanapokezana namba, we huogopi ??

Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu

Na wewe mtoa thread maana ni mmoja wao.

Ninachojiuliza mbona wakiondolewa madarakani wanahangaika sana? Ni kweli wana nguvu hizo au wanalazimisha mara nyingine?
 
Wafanyabiashara wakubwa alikuwepo mzee mengi ukijichanganya regardless of your power or position
Masha alikutana na mziki wa yule mzee haijulikani yuko wapi
Manji aliona ameshinda hadi pale alipokuja kukutana na right time ya mengi n.k

In short, time changes. Kutembelea upepo wa kuteuliwa ndio kuwa na nguvu ni uongo uliopitiliza. Ukiwa na madaraka una nguvu. Ukiondolewa unahangaika kama wengine.
 
Pamoja na kwamba watu wote wana haki sawa, ulipotaja kuogopa wahindi na waarabu imethibitisha kabisa kuwa fikra zako ni mbaya na haziwezi kulisaidia taifa.
Tunahitaji kujenga fikra za watu wetu wajiamini, wapambane kulitetea taifa lao.

Watu wa aina ya huyu jamaa huwa chawa wabaya sana. Au ndio wale baba ni afisa pale ndani, na mimi ntaenda alipokuwa baba.
Wanaishia kuwa vichekesho
 
Nimeipenda hii kanuni.
Huku mkoani kwetu kuna Muhindi mfanyabiashara mkubwa tu binti yake alipewa Mimba na kijana fulani hivi. Yule muhindi akachukua polisi akaenda kumuweka ndani yule kijana na akazuia dhamana.

Kilichotokea baba wa yule kijana kumbe ndio mkuu wa upepelezi wa mkoa. Alipopata taarifa akamweka ndani yule Muhindi huku akizuia dhamana. Wiki nzima alikaa ndani.

Kwa hiyo hakuna asiyegusika, usipoguswa na wa chini, utaguswa na wa juu yako.
 
Umesahau cartels au drug dealers wakubwa kama wa huko colombia, equador, mexico au venezeula. Dah wale jamaa wanakuwa na dunia yao. Ukijichanganya kwenye 18 zao umekwenda na maji. Ndio maana marais wa haya mataifa niliyoyataja hapo, hukanyaga kwa step sana kuepusha kukanyaga ' MASLAHi' ya hao jamaa.
 
Miaka fulani Mahala fulani sitapataja madaktari walikuwa na ugomvi na mapolisi.. Ilikuwa daktari akikutwa na shida yoyote anawekwa Selo.. Madaktari nao wakaanza.. Kila polisi aliyeenda hospitali alikufa.. Polisi wakapeleka mpelelezi wao hospital .. Alikuwa na kidonda mguuni.. Alipofika hospitali naye akafa..
Noma sana😂undava undava aise
 
Wateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.

Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.

Wahindi na Waarabu - $$$ (top 20 ya matajiri wanapokezana namba), Connections nzito, Exposure, umoja.

Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu
Ukipata fursa ya Kumlalia muhindi au mwarabu usiiache bro maana wao wananyanyasa sana watu wetu
 
Back
Top Bottom