Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Mapoti gani hao ?!!Hapo kwa mapoti hapo. Usianzishe nao ligi , labda uwe una back up nzito nyuma yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapoti gani hao ?!!Hapo kwa mapoti hapo. Usianzishe nao ligi , labda uwe una back up nzito nyuma yako.
Aisee, umenikumbusha ya Mengi na Masilingi.Wafanyabiashara wakubwa alikuwepo mzee mengi ukijichanganya regardless of your power or position
Masha alikutana na mziki wa yule mzee haijulikani yuko wapi
Manji aliona ameshinda hadi pale alipokuja kukutana na right time ya mengi n.k
Kwakweli mimi binafsi mtu wa kunishinda ni Raisi,makamu,waziri mkuu,mkuu wa polisi na viongozi wachache wajeshi na mkuu wa usalama wa taifa ila hao wengine sijui mkurugenzi,mkuu wa wilaya,wa mkoa na wengine naweza kushindana nao tuWateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.
Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.
Wahindi na Waarabu
Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu
Sio kweli kwasababu tumewahi kushindana na kanali fulani kwenye mgogoro wa ardhi masoko na tukamshinda japo alitia mikwara sana ila bahati mbaya kwake ni kwamba mimi nimezaliwa pwaniHapo kwa mapoti hapo. Usianzishe nao ligi , labda uwe una back up nzito nyuma yako.
We kipilipili mbona chuki hivyo? Wamekufanyaje?Waarabu wasenge wanahonga balaa ila sio Hawa machotara Koko wasiokuwa na chochote kitu
Hadi wewe? 😃😃😃Ukinizingua, tunazinguana...
🤣🤣Sio kweli kwasababu tumewahi kushindana na kanali fulani kwenye mgogoro wa ardhi masoko na tukamshinda japo alitia mikwara sana ila bahati mbaya kwake ni kwamba mimi nimezaliwa pwani
Hatari sanaMiaka fulani Mahala fulani sitapataja madaktari walikuwa na ugomvi na mapolisi.. Ilikuwa daktari akikutwa na shida yoyote anawekwa Selo.. Madaktari nao wakaanza.. Kila polisi aliyeenda hospitali alikufa.. Polisi wakapeleka mpelelezi wao hospital .. Alikuwa na kidonda mguuni.. Alipofika hospitali naye akafa..
Mmmh dada wa ukoo lakini ama "nawe age-mate" wake ?!! 😲Mimi ni dada na kaka. Not mpwa.
Wateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.
Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.
Wahindi na Waarabu - Top 20 ya matajiri wanapokezana namba, we huogopi ??
Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu
Wafanyabiashara wakubwa alikuwepo mzee mengi ukijichanganya regardless of your power or position
Masha alikutana na mziki wa yule mzee haijulikani yuko wapi
Manji aliona ameshinda hadi pale alipokuja kukutana na right time ya mengi n.k
Pamoja na kwamba watu wote wana haki sawa, ulipotaja kuogopa wahindi na waarabu imethibitisha kabisa kuwa fikra zako ni mbaya na haziwezi kulisaidia taifa.
Tunahitaji kujenga fikra za watu wetu wajiamini, wapambane kulitetea taifa lao.
Naona!! tayri wamekata saa 1:23 asubuhi tarehe 16-9-2024Ukinizingua, tunazinguana...
Huku mkoani kwetu kuna Muhindi mfanyabiashara mkubwa tu binti yake alipewa Mimba na kijana fulani hivi. Yule muhindi akachukua polisi akaenda kumuweka ndani yule kijana na akazuia dhamana.
Kilichotokea baba wa yule kijana kumbe ndio mkuu wa upepelezi wa mkoa. Alipopata taarifa akamweka ndani yule Muhindi huku akizuia dhamana. Wiki nzima alikaa ndani.
Kwa hiyo hakuna asiyegusika, usipoguswa na wa chini, utaguswa na wa juu yako.
Noma sana😂undava undava aiseMiaka fulani Mahala fulani sitapataja madaktari walikuwa na ugomvi na mapolisi.. Ilikuwa daktari akikutwa na shida yoyote anawekwa Selo.. Madaktari nao wakaanza.. Kila polisi aliyeenda hospitali alikufa.. Polisi wakapeleka mpelelezi wao hospital .. Alikuwa na kidonda mguuni.. Alipofika hospitali naye akafa..
Ukipata fursa ya Kumlalia muhindi au mwarabu usiiache bro maana wao wananyanyasa sana watu wetuWateule wa Rais - Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, n.k.
Watumishi wa vyombo vya ulinzi - Polisi, Jw, Usalama.
Wahindi na Waarabu - $$$ (top 20 ya matajiri wanapokezana namba), Connections nzito, Exposure, umoja.
Watu wao wa karibu - watoto, ndugu, wazazi, marafiki wa karibu