Mwenye nguvu mpishe: Watu wa makundi haya hawagusiki kirahisi, wana nguvu kubwa sio wa kugombana nao utazama kwenye kina kirefu

kama ni kwa haki usihofu yupo anayeweza pindua meza yupo Mungu we mpelekee kesi yako tu.
 
Kama ipo sababu ya msingi pambana,
Darwin alisema hapa dunian tuna play Survival Game,
 
Mi siwaogopi wala nini? Simuogopi binadamu yoyote
Hodari sana wewe.

Isiwe unabwabwaja nyuma ya keyboard tu, ingia mitaani tukuone.

Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
 
Hodari sana wewe.

Isiwe unabwabwaja nyuma ya keyboard tu, ingia mitaani tukuone.

Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Kicheko Kicheko

Hoja Maridadi.
 
Hodari sana wewe.

Isiwe unabwabwaja nyuma ya keyboard tu, ingia mitaani tukuone.

Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Nipo mtaani muda huu bibi yangu! Humu sio facebook siwezi kuweka jina la kweli
 
Wewe unaogopa hata kuweka jina lako la kweli JF, halafu unajidai huogopi yeyote? Majanga!
Kicheko Kicheko

Hoja Maridadi.
Mimi naogooa tena sana, wapi nilisema siogopi?

Unaumwa au unaota?
Nipo mtaani muda huu bibi yangu! Humu sio facebook siwezi kuweka jina la kweli
Mtaa wa maporini?
. Nenda kaseme mitaa ya Posta, vijana wapo huko hawana kazi za kufanya.
 
Hao wote wakiumwa na mafua utawaonea huruma, bora pangu pakavu anajikaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…