Mwenye Nyumba ameleta mganga wa kienyeji anatulazimisha tulambe unga anahisi kuna mchawi kwenye nyumba yake

Hapana niko na nyumba ya familia hata nikibalikiwa nyumba nyingine siko tayari kukaa na wapangaji nitajenga tofauti ninapo ishi mimi.
 
Wenzake wanalambishwa ASALI yeye anakulambisha UNGA,..mwambie mzee akae mbali na wewe!
 
Hapana niko na nyumba ya familia hata nikibalikiwa nyumba nyingine siko tayari kukaa na wapangaji nitajenga tofauti ninapo ishi mimi.
Safiii sana Nuzulati ... wanawakwe wengine wangekuwa kama wewe hakika kungekuwa na changes kubwaa.. Sema mie na nyumba ila nipo addicted kupanga, sijui kwakuwa ni muhamaji hamaji kama mfugaji
 
Safiii sana Nuzulati ... wanawakwe wengine wangekuwa kama wewe hakika kungekuwa na changes kubwaa.. Sema mie na nyumba ila nipo addicted kupanga, sijui kwakuwa ni muhamaji hamaji kama mfugaji
Ukiwa na nyumba una amani moyoni unajua siku ukikwama unapo pa kujistili hata kama uko sehemu umepanga ila nyumba ni hazina nzuri.
 
nenda kituo cha polisi,watkupa askari kanzu uende nae,akianza kukulazimisha huyo askari atamkamata pamoja unga wake atawekwa mahabusu pamoja na huyo mganga,thenunga utapelekwa ofisi ya mkemia mkuu wa serikali pale magogoni,then ukipimwa kama unamadhara anafunguliwa mashitaka ya kujaribu kuua!!!!....ni lazima unga huo utakutwa haufai kwani wagnga au wachawi wana tabia ya kuchanganya na miti au mizizi isiyofaa kwa matumizi ya binadam,na unakuta wamehifadhi kwa miaka mingi mpaka ime-haribika...
 
We lamba unaogopa nini? Au wewe ndio mchawi?

mbona wapangaji wenzako hawajaleta nyuzi
 
Daah hatari hiyo aisee yaani mtu analeta unga wake watu walambe je kama ni sumu atasemaje mwambieni Alamein na familia yake...wewe kwako achukue kodi tuu huo ujinga mwingine asiwaletee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…