Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #41
Unataka kunisaidia kulipa kodi?duh,
sasa ungeelezea vizuri tujue kwanini hutaki kuhama
Niache basi nile lunch kwa uhuru π€£Nimekupa HEKO
Hee....kitu cha lunch au sioNiache basi nile lunch kwa uhuru π€£
jf kila mtu ni fogoπAnatutisha maskini na huku tunajua tuko same boatπ€¦ββοΈ
AhahahahHee....kitu cha lunch au sio
nataka nikutumie vochaπ¬Unataka kunisaidia kulipa kodi?
Nitumie basnataka nikutumie vochaπ¬
Dah wewe tena sawa bhna
Kwahiyo unacomment tu nitakuchapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi unajua sijamjua muanzisha uzi lol!! Nisamehe bana
Kwahiyo unacomment tu nitakuchapa
Ahahha af sijakuona kabisa sikuiz mbili[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tu wa kukaja mimi najibu siangalii id ya nani?!
Hadi rahajf kila mtu ni fogoπ
Kaka hela zote izo si ujenge ata karoom kakuanzia uondokane na kero πMorning
Nipo zangu mkoa napigiwa simu kisa nina mke mzuri alikuwa anakuja kunisalimia mara kwa mara nakaa nyumba kubwa uku nyuma ya nyumba kuna msimamiz wa nyumba ni mwanamke
Sasa mara kwa mara akija wife huwa nakuwa na vitu vingi sana sasa leo nimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho mimi nimegoma kuhama na nimemuambia wife aende nyumbani hapo
Sina kosa lolote nipo bise na mambo yangu wao ndio wananifwatilia sana nilimshauri mwenye nyumba hamtoe huyo ndugu yake hataki
Kujenga bado sana ukumbuke wavuvi wananihitaji sna π€£Kaka hela zote izo si ujenge ata karoom kakuanzia uondokane na kero π
Wavuvi kempu eh?Kujenga bado sana ukumbuke wavuvi wananihitaji sna π€£
Ndio wavuvu kempWavuvi kempu eh?
Kodi imeisha ila kutafuta nyumba ni ngumu sana
Ahahha af sijakuona kabisa sikuiz mbili
Sion sababu ya kuhama hapa napapenda sana pametulia hila ndio ivyo huyu msimamizi ana mdomo sanaNyumba zipo nyingi sana mpunga wako tu ,sema labda kuhama hama ndiyo disturbance.
Wavuvi Kemp π π βοΈKujenga bado sana ukumbuke wavuvi wananihitaji sna π€£