Kodi ikiisha tu hama.Iko hivi mm nimepanga nyumba ila huyuu mama mwenye nyumba ana kero mm sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tuu kwa jina la baba sijuiii damu ya yesuu mm sipendi nifanyaje? Kelele kubwa hata sabufaa sinaa
Mpangaji mwenzio ni mtu wa vyombo?Tuko wapangaji wawili na yeye na mumewe
Swali zuri, hama au jenga kwako mkuu.mimi sipendi nifanyaje?
Swali zuri, hama au jenga kwako mkuu.
AfanyajeHata akijenga kwake anaweza akapata jirani wa hovyo mambo yakawa yale yale!
Afanyaje
Kahamie kwako...!Iko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mm sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa jina la baba sijuiii damu ya yesuu mimi sipendi nifanyaje?
Kelele kubwa hata sabufaa sinaa