Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Huyo hawezi kulalamika. Watu wa nyombo hawanaga baya na mtu.Sanaaa
Anza kunywa au hama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hawezi kulalamika. Watu wa nyombo hawanaga baya na mtu.Sanaaa
Sasa cha kukushauri huyo demu ukiingiza hio siku na yeye mwambie miguno apige kwa nguvu kwa jina la Baba ziwe nyingi sana hapo bi mkubwa mwenye nyumba lazima akuelewehata nikiiingiza demu
Fanya hivyo walau mara 3 bi mkubwa ataacha kupaza sauti akipaza ingiza demu mwambie apaze sauti zaidi mpaka bi mkubwa aje kuwagongea ukifungua mwambie tupo kwenye maombi na wewe unataka kujiunga?Sawa
aidha una mapepo wewe, au la anakukumbusha ujenge yako.Iko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mm sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa jina la baba sijuiii damu ya yesuu mimi sipendi nifanyaje?
Kelele kubwa hata sabufaa sinaa
Nakushauri Jenga ya kwako utaishi kwa amaniIko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mm sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa jina la baba sijuiii damu ya yesuu mimi sipendi nifanyaje?
Kelele kubwa hata sabufaa sinaa
Mkandamizie msumali nae itapendezaIko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mm sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa jina la baba sijuiii damu ya yesuu mimi sipendi nifanyaje?
Kelele kubwa hata sabufaa sinaa
Kwani tulikupeleka sisi, hapo. Pesa yako na shida zako ndizo zilikuchagulia kuishi hapo. Nyumba ya mtu iko mfukoni. Sikuambii uhame ila acha kusikiliza ibada za watu,, watakubadilisha. Weka pamba masikioni sawa na wanaokereka na speaker za adhana.Iko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mm sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa jina la baba sijuiii damu ya yesuu mimi sipendi nifanyaje?
Kelele kubwa hata sabufaa sinaa
Hayo maombi ndio yanayokufanya ulale vyema usiku licha ya madhambi yako na siku ukihama hapo ndio utagundua nachomaanisha.Iko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mimi sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa jina la baba sijuiii damu ya Yesu mimi sipendi nifanyaje?
Kelele kubwa hata sabufaa sinaa