Mwenye nyumba wangu anafanya maombi yenye kelele kila usiku

"yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu"!
Badili tabia yako ya umalaya, ukibadili tu ataacha hayo maombi.
Yaani wewe unaona fahari nyumba yake kuigeuza dangulo na usiombewe uache umalaya!
 
Kwani tulikupeleka sisi, hapo. Pesa yako na shida zako ndizo zilikuchagulia kuishi hapo. Nyumba ya mtu iko mfukoni. Sikuambii uhame ila acha kusikiliza ibada za watu,, watakubadilisha. Weka pamba masikioni sawa na wanaokereka na speaker za adhana.
"watakubadilisha"! Huyu malaya anayejisifu kuingiza mademu atabadilishwa kuwa nani? Sijui dini gani inakubaliana na vitendo vya umalaya kama anavyojisifu!
 
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi,wenzio wanazitafuta nyumba za hivyo wewe unasema hupendi,kweli shetani hana akili...
 
Nunua mziki 😃 akianza tu kwa jina la yesu....unaanza kuungurumisha nyimbo za chama tawala
Siku nyingine washa mziki mnene then kalale njeee umpigie kelele usiku kucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…