- Thread starter
- #41
😛😛😛😛😛😛 mwe!Aah usijali mi mtu mzima nishaelewa tusiwape faida watu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😛😛😛😛😛😛 mwe!Aah usijali mi mtu mzima nishaelewa tusiwape faida watu..
Si umeona kaweka " " ....Sidhani Mkongwe wa miaka 11 ndani ya JF afanye makosa madogo madogo kama hayo.
Wa kulia alieshika micAhsante sana. kulia au kushoto?
Ahsante sana mkuuWa kulia alieshika mic
Ahsatne mkuu King Kong III . Anadhani labda nilikuwa nakimbia somo la communication skills. hahahahaah.Si umeona kaweka " " ....Sidhani Mkongwe wa miaka 11 ndani ya JF afanye makosa madogo madogo kama hayo.
Picha ina Watu wawili alafu unasema huyo hapo, Watu engine bana.
hahaha, mwishoe nimepata mtu akaniambia Sued ni yupi kati ya hapo wawiliPicha ina Watu wawili alafu unasema huyo hapo, Watu engine bana.
itabidi iwe kwa google diary ili isiende na mwaka.hahaaaasante mkuu ngoja niandike kwenye diary yangu nisisahau.
Sio Mkaka huyo,ni mbabaHabarini wanaJF.
Nina hamu ya kuona picha ya huyu kaka mtangazaji wa TBC1 ambaye anatangaza mambo ya mpira.
Napenda sauti yake. Nataka nilinganishe sauti yake na yeye mwenyewe.
SUED MWINYI
Mimi ndio SUED MWINYI njoo inboxHabarini wanaJF.
Nina hamu ya kuona picha ya huyu kaka mtangazaji wa TBC1 ambaye anatangaza mambo ya mpira.
Napenda sauti yake. Nataka nilinganishe sauti yake na yeye mwenyewe.
SUED MWINYI
Taratibu dada,jamaa pia ni DSSDHabarini wanaJF.
Nina hamu ya kuona picha ya huyu kaka mtangazaji wa TBC1 ambaye anatangaza mambo ya mpira.
Napenda sauti yake. Nataka nilinganishe sauti yake na yeye mwenyewe.
SUED MWINYI
😵😵😵😵😵😵
😀😀😀😀😀mhusika ni me hapa, njoo pm ili tuonane kabisa ukidhi htaji la moyo wako.
Taratibu dada,jamaa pia ni DSSD