Mwenye picha ya Uhuru Kenyatta akipata chanjo ya COVID-19 aiweke hapa

Mwenye picha ya Uhuru Kenyatta akipata chanjo ya COVID-19 aiweke hapa

Chanjo zimeletwa kwa Wakenya kila mmoja kwa hiari yake, ila kipau mbele ni wale walio hatarini haswa wauguzi wanaokumbana na waathirika wa corona kila siku.
Kwa kweli mpaka hapo, rais wetu amedhihirisha yeye ni kiongozi tena mwenye busara na weledi, sio unabadilisha kauli na misimamo haueleweki, unaishia kulichanganya taifa watu mamilioni wanaachwa kama mayatima, hawajui aidha wavae barakoa, hawajui kama corona ipo, hawajui kama changamoto sijui la kupumua, hawajui chochote wamekaa tu kama mifugo...halafu kiongozi unatoweka ghafla na wananchi wako wanakamatwa kamatwa wakianza kuhoji ulikokwenda.
Ujuha sana huo tena uliokubuhu......
Msimamo kukataa kuwa mfano kwa raia wake kwa kuchoma chanjo? Hapo ndipo uone hata yeye mwenyewe ana wasiwasi na hiyo chanjo.

Hee kumbe ni hiyari yako,basi hata sisi tupo sawa manake ni hiyari ya mtu kuchoma si lazima.

Naingalia mikutano ya Ruto sizioni hizo barakoa,tatizo lenu Wakenya mnakili vinywani ila kwenye matendo ni sifuri.
 
Msimamo kukataa kuwa mfano kwa raia wake kwa kuchoma chanjo? Hapo ndipo uone hata yeye mwenyewe ana wasiwasi na hiyo chanjo.

Hee kumbe ni hiyari yako,basi hata sisi tupo sawa manake ni hiyari ya mtu kuchoma si lazima.

Naingalia mikutano ya Ruto sizioni hizo barakoa,tatizo lenu Wakenya mnakili vinywani ila kwenye matendo ni sifuri.

Kwenu huko sio hiari, serikali imekataa haizileti ili iwe hiari ya kila mmoja, sasa leo mpo mpo tu.....yaani ujamaa bana.
 
Kwenu huko sio hiari, serikali imekataa haizileti ili iwe hiari ya kila mmoja, sasa leo mpo mpo tu.....yaani ujamaa bana.
Mimi sioni tofauti yenu na yetu sababu kitu chenyewe ni hiyari na si lazima.

Nina uhakika hata wewe hutochoma manake mpaka waziri wa afya anakwambia yeye atakuwa wa mwisho kuchoma,yaani viongozi wenu wanajifanya wanawapenda mkiwapa kisogo wanawang'ong'a.

Rais wenu kawageuza nyinyi mbuzi wa kafara.
 
Mie mwenyewe nilicheka sana, yeye mgomo wake ni wakimya kimya, kwetu hapa haangaliagi sura anaongea tu [emoji3][emoji3]

Hataki malumbano, anayetaka kuchoma haya, ambaye naye yuko careful kama yeye, pia sawa.
 
Mimi sioni tofauti yenu na yetu sababu kitu chenyewe ni hiyari na si lazima.

Nina uhakika hata wewe hutochoma manake mpaka waziri wa afya anakwambia yeye atakuwa wa mwisho kuchoma,yaani viongozi wenu wanajifanya wanawapenda mkiwapa kisogo wanawang'ong'a.

Rais wenu kawageuza nyinyi mbuzi wa kafara.

Tofauti iko kubwa sana maana huku kwetu kila mmoja ana uhuru wa kufuata, kwa mfano mimi hapa nasubiri kwa hamu wakamilishe hao walio hatarini (wauguzi) kisha ije kwetu sote, yaani hata ikitangazwa muda huu kwamba ipo tayari kwa sisi wengine, aisei nitaacha kila ninachokifanya nikachanjwe.
Sasa kwa Tanzania hamna mwenye uhuru huo kama wangu, labda mwenye hela ndiye ataweza aidha kuzamia kuja Kenya au asafiri kwenda Ulaya ndio akapate chanjo kimya kimya. Makajamba wengine itabidi wasubiri mkulu ataamka vipi, akiendelea kushupaza shingo ndio mtaendelea kupukutika tu bila afueni. Na kwa sasa ametoweka kwenye uwanja wa mapambano anatuma tu salamu akiwa kusikojulikana.
 
Wajameni,

Yeyote mwenye picha ya Rais wa Jamhuri ya Kenya,Uhuru Kenyatta akipata chanjo ya covid-19 aiweke hapa.Hii itasaidia Wakenya kupata imani kuwa chanjo hiyo ni salama isije kuwa anakwepa majukumu.

Asanteni wajameni
IMG-20210315-WA0015.jpg


Anasema hivi
 
Tofauti iko kubwa sana maana huku kwetu kila mmoja ana uhuru wa kufuata, kwa mfano mimi hapa nasubiri kwa hamu wakamilishe hao walio hatarini (wauguzi) kisha ije kwetu sote, yaani hata ikitangazwa muda huu kwamba ipo tayari kwa sisi wengine, aisei nitaacha kila ninachokifanya nikachanjwe.
Sasa kwa Tanzania hamna mwenye uhuru huo kama wangu, labda mwenye hela ndiye ataweza aidha kuzamia kuja Kenya au asafiri kwenda Ulaya ndio akapate chanjo kimya kimya. Makajamba wengine itabidi wasubiri mkulu ataamka vipi, akiendelea kushupaza shingo ndio mtaendelea kupukutika tu bila afueni. Na kwa sasa ametoweka kwenye uwanja wa mapambano anatuma tu salamu akiwa kusikojulikana.
Sasa hivi ni nchi ama utopolo? Nchi lazima iwe na msimamo wa kitaifa ndiyo maana mnahangaika na ukabila hata Rais na Makamo wake hawaelewani kweli Kenya ni Kunyaland.
 

 
Sasa hivi ni nchi ama utopolo? Nchi lazima iwe na msimamo wa kitaifa ndiyo maana mnahangaika na ukabila hata Rais na Makamo wake hawaelewani kweli Kenya ni Kunyaland.

Najaribu kuwaza ingekua rais wetu ndiye amejificha hivi, humu JF hakungelika kwa namna Watanznia humu wangekejeli.
 
Haya picha ndio hii.... ila jameni serikali harakisheni hizi chanjo zitufikie mtaani, tangazeni lini tuziwahi mapema...twafwa


WhatsApp%20Image%202021-03-26%20at%204.01.24%20PM.webp
 
Haya picha ndio hii.... ila jameni serikali harakisheni hizi chanjo zitufikie mtaani, tangazeni lini tuziwahi mapema...twafwa


WhatsApp%20Image%202021-03-26%20at%204.01.24%20PM.webp
Amefanya jambo la busara sana. Alafu shughuli yenyewe inaendelea vizuri. Ukizingatia kwamba wahudumu wa afya na wengine ambao walikuwa kwenye hatari kubwa zaidi wamedungwa chanjo tayari.
 
Amefanya jambo la busara sana. Alafu shughuli yenyewe inaendelea vizuri. Ukizingatia kwamba wahudumu wa afya na wengine ambao walikuwa kwenye hatari kubwa zaidi wamedungwa chanjo tayari.

Kuna mtu amenifahamisha kwamba Mbagathi wanadunga yeyote anayeibuka. Kama utakua na hizo taarifa utusaidie, nipo tayari kuwahi popote itatajwa.
 
Nimeona sehemu makamu kwenu huko mama Samia amefikisha salamu za mkulu wenu ila bado hamridhiki, bado mnamsaka mkulu kwenye mitandao, halafu yule Mbelgiji bado anatema cheche kule Twitter....yaani kwenu huko ni show za kiajabu.
Hivi mbona Watanzania mumefanya Corona iwe kama gonjwa la aibu, jameni hata Trump akiwa rais wa taifa lenye uwezo zaidi yenu mara 1,000 alipoumwa Corona, alikubali itangazwe, akalazwa na hatimaye kupona. Wala dunia haikuhangaika kumsema, hakukua na mijadala kumhusu au kamata kamata.

Nchi zinazotawaliwa kifalme bila demokrasia ndio viongozi wao wakiumwa, hung'ang'ania hata akipumulia mashini bado inatangazwa yupo kazini, ila demokrasia hutambua urais kama taasisi, na kama rais anaumwa, inasemwa tu anapewa muda atulie pembeni hadi apate nafuu huku uongozi ukipokezwa makamu wake amkaimu.
😡😡😡
 
Hajachanjwa. Hata Waziri wa Afya nae anaikwepa - eti anasubiri "zamu yake ifike" baada ya watu waliopo kwenye risk kubwa kudungwa kwanza. Wanataka waone kwanza itareact vipi kwenye miili ya wakenya wenzao
View attachment 1727099
Kina MK254 ndo chambo hao wachanjwe kwanza!! Halafu kenyata na mawaziri wake wawatazame kwanza kea miaka miwili ndio na wao wachanjwe!! Mtani wetu MK254 umeipata hiyo?
 
Back
Top Bottom