Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Hayo ni yeye anajua, bora uhai!Una uhakika gani kama amechoma chanjo kweli ama kachoma placebo?
✌️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni yeye anajua, bora uhai!Una uhakika gani kama amechoma chanjo kweli ama kachoma placebo?
Njoo kidogo baraka bb
duh kwahiyo sisi kumbe hatuna ulinzi wa kutosha ndo maana yametukuta ya kutukuta?😂😂 M7 anachekesha kumbe ukiwa na ulinzi wa kutosha tu hupati corona
Mfumo wa umeme wa moyo sio corona kiongoziduh kwahiyo sisi kumbe hatuna ulinzi wa kutosha ndo maana yametukuta ya kutukuta?
Pengine kuna ka-naivette kwenye ulinzi wetu, huwezi jua. Hili ni suala la kufanyiwa kazi ktk ngazi husika kama kweli nia ya dhati ipo. My 2 cents.Mfumo wa umeme wa moyo sio corona kiongozi
Endeleeni kuwabeza wengine kwenye janga hili huku mkijiona special, wakati hakuna nchi hata moja duniani ambayo imesazwa na kirusi cha COVID-19. Museveni hana hamu ya kuagwa kama mwendazake na ameona afate muongozo wa mwenzake rais wa EAC, Uhuru Kenyatta. Chanjo amedungwa leo hii alasiri wakiwa na mke wake Janet.[emoji23][emoji23] M7 anachekesha kumbe ukiwa na ulinzi wa kutosha tu hupati corona
HahahahahaEndeleeni kuwabeza wengine kwenye janga hili huku mkijiona special, wakati hakuna nchi hata moja duniani ambayo imesazwa na kirusi cha COVID-19. Museveni hana hamu ya kuagwa kama mwendazake na ameona afate muongozo wa mwenzake rais wa EAC, Uhuru Kenyatta. Chanjo amedungwa leo hii alasiri wakiwa na mke wake Janet.![]()
Nyinyi mtakaoitumia hiyo 'Johnson Johnson' ndio kina nani? Unamaanisha nyinyi Tanzania, Burundi au N.Korea? Hivi nyungu season 2 imefika wapi? Hayo mambo ya blood clot umeyathibitisha kwa utafiti upi? Kama sio ubabe wa peni mbili mzee wenu wa mikwara angekuwa amepata chanjo zamani na hadi sasa hivi bado angekuwepo akienjoy maisha.Hahahahaha
Msubirie blood clotting sides effect in case imetumia astrazeneca , sisi tutatumia johnson johnson