Mwenye sample ya talaka tafadhali

Mwenye sample ya talaka tafadhali

Aiseeeee!huyo kweli talaka ndio saizi yake,ulimpatia disco nn,poleeee

Inspector ........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

images
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke

Namba 14 ni funga kazi,anataka kujiunga na chama chao.
 
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo

Hii ndiyo kali zaidi, itumie hutajuta:

"Katika shida na raha, ugonjwa na taabu, nikutunze mpaka kifo kitutenganishe". Na watu vigelegele!!!!
Ukishamaliza hapo basi, huna ugomvi tena. Yaweza kuwa yamekukuta magumu lakini hakuna jaribu litakalokupata lililo nje ya uwezo wako. Sala na uvumilivu vitakuokoa
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke

Daah pole kuna mshikaji wangu Kaoa miezi sita iliopita,mkewe anafanya kama hivyo unavyofanya wako,na wikitatu zilizopita amemkimbia bwana,amehamia kwa rafiki zake(manun'ga Embe)majanga sana
 
Talaka ni halali pekee duniani inayo mchukiza Allah,ila hana namna
Binafsi Mpenzi wangu akiamisha mapenzi simbembelezi hata siku moja
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke

aiseeeee hii noma
obdoka kaanze upya utakufa kabla ya wakati wako bure.
kuanza upya c ujinga.

btw ndoa yako ya aje? kanisani, msikitini o mila?
 
Mh pole sana kweli ndoa ndoano mwenye maamuz ya mwisho ni ww na ninavyofaham bado unampenda cku ukiamua hutasubiri ushauri mpe talaka rejea huenda akajifunza ikibidi kutoa
 
Daah pole kuna mshikaji wangu Kaoa miezi sita iliopita,mkewe anafanya kama hivyo unavyofanya wako,na wikitatu zilizopita amemkimbia bwana,amehamia kwa rafiki zake(manun'ga Embe)majanga sana

dah
hiv hii sector imeingiliwa na mapepo au nn?
miezi 6? au ndo kuolewa kuondoa nuksi?
 
huyu anaingia, huyu anatoka..huyu anacheka, huyu analia
 
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo

Kabla hujafikia kutoa talaka fahamu haya yafuatayo-
1.Hakuna ndoa iliyotulia 100%
2.Talaka hufanya watoto kukosa malezi ya baba na mama.
3.Talaka huongeza watoto mitaani.
4.Talaka hupelekea kuongezeka zinaa.

Yatafakari hayo ukifikia maamuzi-
Talaka ya tamko ama
Talaka ya maandishi inatosha.
 
Kabla hujafikia kutoa talaka fahamu haya yafuatayo-
1.Hakuna ndoa iliyotulia 100%
2.Talaka hufanya watoto kukosa malezi ya baba na mama.
3.Talaka huongeza watoto mitaani.
4.Talaka hupelekea kuongezeka zinaa.

Yatafakari hayo ukifikia maamuzi-
Talaka ya tamko ama
Talaka ya maandishi inatosha.

Uko sahihi makamee ila Tanzania, mamlaka ambayo inatoa talaka ni mahakama pekee. Hakuna cha mume kuacha
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke

Du yote hayo?Talaka nzuri ni kutenganisha kichwa na kiwiliwili kwa pigo moja la shoka.
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
Aiseee mpe tu upumzike kwa amani
 
Wakiristo hawaandiki talaka ila mahakama ndiyo inatoa decree ya kuvunja ndoo sasa sijui unataka sample ya decree hiyo? Nenda mahakamani watakupa kulingana na facts zako za kuvunja ndoa maana kila mtu ana sababu yake

ni last solution ndio maana ikawepo au unataka nikafie jela kwa kesi ya kujeruhi au kuua
 
wewe inaonyesha ulioa. ili upate. housegirl si mke. duh kazi ipo
 
Talaka ni halali pekee duniani inayo mchukiza Allah,ila hana namna
Binafsi Mpenzi wangu akiamisha mapenzi simbembelezi hata siku moja

TALAKA NI HALALI PEKEE DUNIANI INAYOMCHUKIZA ALLAH! samahani mkuu, hapa naomba ushahidi, aya ama hadithi!
 
Back
Top Bottom