Mwenye sample ya talaka tafadhali

Mwenye sample ya talaka tafadhali

Ushauri wa bure, chukua bastola weka kidevuni kwako halafu jilipue kama mushi, maana ndoa ya kikristu haitenganishwi mpaka kifo, hahaha natania mie, usije ukajilipua kweli mtoa ushauri nikawa accesory befor the fact kwa murder
 
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo

dah! kaka kama kweli ndoa yako ndio hipo hivyo unanitisha sana nahisi maamuzi yangu ya kuoa yatachukua muda mrefu sana!!!!!
 
Zipo talaka pia nje ya mahakama,Tamko ama andishi analolitoa mume na zinakubalika kua ni talaka ndoa huvunjika.(kwa ndoa za waislam).

Sheria ya ndoa inatoa mamlaka kwa mahakama pekee ya kutoa talaka. Hivyo hata kama unamuacha mkeo kwa kutumia utaratibu wowote( sio lazma talaka kuandikwa kwa waislamu)..inabidi uanze mchakato wa kimahakama kupitia reconciliation board.

Kuna watu unakuta kidini wameachana lakini sheria bado inatambua kuwa ndoa bado ipo.
 
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo

Aisee pole sana sana.
Natumain nawe utakiri kwamba unamakosa.lakin kosa kubwa ni namna ulivyo mchagia mwenza wako!

Kupitia facts ulizotoa,ebu pitia kwa ustawi wa jamii au baraza za usuluishi la kanisani,washirikishe ndugu zake ipasavyo (ili wawe mashaidi wako pia).kama umeisha pitia hizo hatua..basi endelea na maamuzi yako.

Utashindwa kujiendelza kimaisha kwa sababu ya migogoro ya ndoa.je ukose mke na ustawi wa maisha yako pia?.kwa mtihani unaopitia sasa utakuja kuwa mwanandoa bora baadaye.
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke

Duuuu basi hali ni mbaya sana.
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
Mkuu sasa mbona umechelewa hivyo ingekuwa mimi tayari nilisha maliza kama munis Tufanye hiv haina haja ya Talaka Ni pm nikuazime Mguu wa kuku mkuu.
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
Huyu ndiye ulikuwa unaombea na huyo bwana anayewasiliana naye? Kama ndivyo jua ulioa mpira wa kona na sasa unaendelea kugombaniwa!!!!! Wadau kamwe usisubutu kuoa au kuolewa na partner anayegombaniwa eti unajidai una win game!!! Utakuwa umejichimbia kaburi.
 
hao ndio wake wa fasta mkuu, kwa ayo uliyoeleza hapo chini huyo si mwanamke, ila ni mzigo, sasa umeoa ili iweje? au umuone sura yake kama yote ayo hafanyi, yani print haraka hiyo talaka mpe aende kabisa, anachezea bahati ya ndoa.
 
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
Mbona jehanamu ndogo hii
 
Back
Top Bottom