haule.scola
Senior Member
- Jul 23, 2012
- 148
- 28
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo
Zipo talaka pia nje ya mahakama,Tamko ama andishi analolitoa mume na zinakubalika kua ni talaka ndoa huvunjika.(kwa ndoa za waislam).
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo
nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
Mkuu sasa mbona umechelewa hivyo ingekuwa mimi tayari nilisha maliza kama munis Tufanye hiv haina haja ya Talaka Ni pm nikuazime Mguu wa kuku mkuu.nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
Huyu ndiye ulikuwa unaombea na huyo bwana anayewasiliana naye? Kama ndivyo jua ulioa mpira wa kona na sasa unaendelea kugombaniwa!!!!! Wadau kamwe usisubutu kuoa au kuolewa na partner anayegombaniwa eti unajidai una win game!!! Utakuwa umejichimbia kaburi.nashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
dah
hiv hii sector imeingiliwa na mapepo au nn?
miezi 6? au ndo kuolewa kuondoa nuksi?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo
Mbona jehanamu ndogo hiinashukuru kaka kwa kuwa concerned na kuwa na kumbu kumbu nadhani sio kila mwanume anafaa kuitwa mume mi nafikiri nimechemsha tatizo langu ni upole if you remember that post nilisema kuna mengi ila nilikuja na lile nikamwelewesha kwa upole alichonijibu ni siri yangu,imagine tangu nimeoa nimekonda badala ya kunenepa kwa sababu hapiki anamuachia dada mimi hupenda kula chakula kizuri sasa dada sio mpishi mahiri,hajawahi hata kupika chai,sio mjuzi wa kupika na hataki kujifunza
2.tendo la ndoa miezi minne sasa sijapata
3.akitoka kwenda misele haagi
4.hajawahi kunifulia au kupiga pasi japo mara moja
5.hasafishi chumba cha kulala
6.simu zake zina password
7.siri za ndani anatoa nje kwa majirani na kwa ndugu zake
8.ana mawasiliano na jamaa ambaye tuliwahi kugombea mwanamke kabla hatujaoa
9.maji ya kuoga hajawahi kutenga hata siku moja
10.akipewa kitu na mwanamme ananionyesha na kuniambia waziwazi
11.haendi kwenye nyumba za ibada
12.usafi wa nyumba hauridhishi
13.ana majibu makali yanayoweza kukufanya ukazimia
14.marafiki zake wote ndoa zimewashinda
mengine nitaongezea baadae ngoja nikumbuke
Namba 14 inapoteza mademu wengi walio kwenye ndoaNamba 14 ni funga kazi,anataka kujiunga na chama chao.
Uliipatqjamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo
Namba 14 inapoteza mademu wengi walio kwenye ndoa