Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Wanasema mafanikio ya mwanadamu yapo kwenye taarifa au connection Sasa wana Jf Mwenye utayari wa kuzungusha pesa yake ndani ya muda mfupi aweze kurudisha pesa yake na kuamua kuendelea au lah namuhitaji.
Ninahusika nakuingiza Bidhaa flani kutoka Kenya kuja Tanzania soko la hzo Bidhaa lipo na uhakika sababu ndo kazi ilionitoa shimoni mpaka hapa nilipo.
N vyema akawepo maeneo ya Arusha sababu itakuwa rahisi kumanage hyo issue na kupata mawili matatu sababu hata base ya Biashara inatakiwa Arusha.
Nataka mtu aje aweke mzigo baada ya kuridhika na hii biashara naye asubiri hesabu yake ikamilike, nahitaji mtu alie serious na pesa yake na awe tayari tupige kazi.
Aina ya bidhaa ni mafuta ya nywele, Dawa zake pia kuna lotion mafuta Mgando, sabuni za vyombo na sabuni za chooni pia kuna Bidhaa kutoka china na Egypt.
Hii issue n serious na inatoa pesa kwa wakati alie tayari na ningependa awe arusha ili tuongee in details vizuri.
0742500503 karibu.
Ninahusika nakuingiza Bidhaa flani kutoka Kenya kuja Tanzania soko la hzo Bidhaa lipo na uhakika sababu ndo kazi ilionitoa shimoni mpaka hapa nilipo.
N vyema akawepo maeneo ya Arusha sababu itakuwa rahisi kumanage hyo issue na kupata mawili matatu sababu hata base ya Biashara inatakiwa Arusha.
Nataka mtu aje aweke mzigo baada ya kuridhika na hii biashara naye asubiri hesabu yake ikamilike, nahitaji mtu alie serious na pesa yake na awe tayari tupige kazi.
Aina ya bidhaa ni mafuta ya nywele, Dawa zake pia kuna lotion mafuta Mgando, sabuni za vyombo na sabuni za chooni pia kuna Bidhaa kutoka china na Egypt.
Hii issue n serious na inatoa pesa kwa wakati alie tayari na ningependa awe arusha ili tuongee in details vizuri.
0742500503 karibu.