Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DECI, JATU, TATU MZUKA,pia soma
Football Club Investments ni sehemu sahihi ya uwekezaji?
Habari, nimeona taarifa nyingi sana na watu kujiunga katika uwekezaji wa kampuni inayoitwa F.I.C football Club Investments. Je, ni sehemu sahihi au ndo Kalynda mpya na Mr. Kuku Tena!www.jamiiforums.com
B O M U Linalongoja Muda Wa Kulipuka Liondoke Na Kijiji, Machozi Na Kamasi JembambaNi kampuni ya ajabu.
inayochezwa Na watu wa ajabu wasiofikirisha vichwa vyao.
Una-stake pesa, unapewa mechi ya kubet, hapohapo unapewa matokeo yatakavyotoka...vyovyote matokeo yatakavyokuja ,umeshinda bet.
Swali wao faida wanatengenezaje?
F.I.C ni bomu linalo.
Ni bomu lijalo Tena ni 2025 hiihiiB O M U Linalongoja Muda Wa Kulipuka Liondoke Na Kijiji, Machozi Na Kamasi Jembamba
Hapo demu nani sasa?Kuna demu mmoja kila siku ananishawishi nijiunge, nimekula buyu...
Wewe...Hapo demu nani sasa?
Kimeshaumana au bado wanakusanya kijiji?Hatimaye kimewalambaaaaa
Tayar una uhakika,maana nina ndugu zangu wengi tu hukoHatimaye kimewalambaaaaa