Mwenye uelewa juu ya kampuni ya F.I.C

Mwenye uelewa juu ya kampuni ya F.I.C

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
Naomba mwenye uelewa juu ya ukweli kuhusu hii kampuni ya F.I.C inahusika na ubashiri wa correct score ila ikitokea mkeka wako ukichanika wanakurudishia pesa zako zote...
 
Ni kampuni ya ajabu.
inayochezwa Na watu wa ajabu wasiofikirisha vichwa vyao.

Una-stake pesa, unapewa mechi ya kubet, hapohapo unapewa matokeo yatakavyotoka...vyovyote matokeo yatakavyokuja ,umeshinda bet.

Swali wao faida wanatengenezaje?
F.I.C ni bomu linalo.
 
pia soma
DECI, JATU, TATU MZUKA,
Tungoje Wanaoijua Waje Wategue Mtego




*Ndugu Zangu Bwana Bure Hayupo, Tuchape Kazi Tukimtanguliza Mungu Mbele.
By Mzilankende
 
Ni kampuni ya ajabu.
inayochezwa Na watu wa ajabu wasiofikirisha vichwa vyao.

Una-stake pesa, unapewa mechi ya kubet, hapohapo unapewa matokeo yatakavyotoka...vyovyote matokeo yatakavyokuja ,umeshinda bet.

Swali wao faida wanatengenezaje?
F.I.C ni bomu linalo.
B O M U Linalongoja Muda Wa Kulipuka Liondoke Na Kijiji, Machozi Na Kamasi Jembamba
 
F.I.C to the world😂😂uzuri ukiweka pesa less one month pesa inakuwa imerudi unaanza kutumia faida😂
 
Back
Top Bottom