Mwenye uelewa juu ya kampuni ya F.I.C

Mwenye uelewa juu ya kampuni ya F.I.C

Watu wanalia tu huko
IMG_20250309_190335.jpg
 
Ni kampuni ya ajabu.
inayochezwa Na watu wa ajabu wasiofikirisha vichwa vyao.

Una-stake pesa, unapewa mechi ya kubet, hapohapo unapewa matokeo yatakavyotoka...vyovyote matokeo yatakavyokuja ,umeshinda bet.

Swali wao faida wanatengenezaje?
F.I.C ni bomu linalo.
Mtu akupe mechi na matokeo, kwa uzalendo gani, kama matokeo anayajua si ayabetie mwenyewe.
 
Back
Top Bottom