The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Waulize kama Bado wanachana mikeka au wameliwaTayar una uhakika,maana nina ndugu zangu wengi tu huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waulize kama Bado wanachana mikeka au wameliwaTayar una uhakika,maana nina ndugu zangu wengi tu huko
Naogopa kuwauliza wasije niona mchawi mbaya zaidi ni watoto wa wakulima na walikuwa wameinvest pesa nying tuWaulize kama Bado wanachana mikeka au wameliwa
Kaka kimewalamba, amini nakwambia. WaulizeTayar una uhakika,maana nina ndugu zangu wengi tu huko
Tayari kimewalambaKimeshaumana au bado wanakusanya kijiji?
Mtu akupe mechi na matokeo, kwa uzalendo gani, kama matokeo anayajua si ayabetie mwenyewe.Ni kampuni ya ajabu.
inayochezwa Na watu wa ajabu wasiofikirisha vichwa vyao.
Una-stake pesa, unapewa mechi ya kubet, hapohapo unapewa matokeo yatakavyotoka...vyovyote matokeo yatakavyokuja ,umeshinda bet.
Swali wao faida wanatengenezaje?
F.I.C ni bomu linalo.