unafahamu umri wake?Hicho ni kibatali mkuu, nyie watoto wa 2000 hamuwezi kuvijua hivyo
Angekuwa na umri mkubwa angejua tu ni Niniunafahamu umri wake?
Kitumie kuvunjia Nazi tu hapo Gengeni kwako,hakina maana yeyote.
Ndiyo kandiliWakati tunakua tuliziita kandili