Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ina maana hivi vibatali vimekuwa 'extinct' mpaka vijana wanauliza nini hiki?Hicho ni kibatali mkuu, nyie watoto wa 2000 hamuwezi kuvijua hivyo
hapana kandili ni tafauti na kibatali. Kandili ndiyo ile wabara munaita 'taa ya chemli'.Wakati tunakua tuliziita kandili
Mkuu hiv mara ya mwisho kuona kibatalu ni lini😂ina maana hivi vibatali vimekuwa 'extinct' mpaka vijana wanauliza nini hiki?
Ama kweli nimezeeka!
Hata sijaelewa ni lugha gan hapo inaongelewa, sijasikia hata neno moja yan kwenye hiyo clipKitumie kuvunjia Nazi tu hapo Gengeni kwako,hakina maana yeyote.
BOMUUUNi kidude kama vidude vingine au unataka kusikia ni madini? Au tunguri la wachawi?
KUOKOTA OKOTA VITU OVYO NI DALILI ZA KUCHANGANYIKIWA
SikumbukiMkuu hiv mara ya mwisho kuona kibatalu ni lini😂
atamim nimeona kama ni ivo,,ila imebidi nitulie nione wataalam wanasemajeMbona kama ni dynamo zile zinazotengeneza umeme kwenye baiskeli
Umeona sasa...siku hiz ni mwemdo wa solar na taa za kuchaji moaka vijijin kusiko na umemeSikumbuki
Wasipende kuokota okota hovyo watajizolea mabalaa !
Bila shaka ni watu wa tabora