Mwenye uelewa na hiki anijuze kuna jamaa yangu kakiokota shambani

ina maana hivi vibatali vimekuwa 'extinct' mpaka vijana wanauliza nini hiki?

Ama kweli nimezeeka!
Ata mm ni mara ya kwanza kukiona inaonekana hivyo vilikuwa vya kishua . Mi najua hvya hiv tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…