Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mwenye uelewa na hivi vitofali vyekundu vya kubandika ukutani, vinabandikwa kwa bei gani kwa kila mita za mraba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo ni vitofali wanabandika baada ya plastaHiyo ni wallpaper mzee
wanabandika baada ya plastaUna uhakika gani vimebandikwa? Huwa navutiwa sana na nyumba za dizaini hiyo
Ndani ya plasta wanatumia haya mengine ya cement?wanabandika baada ya plasta
Uliona wap? Vinapatikana wap?Hivyo ni vitofari wanabandika baada ya plasta
Haya mamijengo yapo leicester hapo kwa queen naomba kujua kama nayo ni ya kubandika?wanabandika baada ya plasta
NdioNdani ya plasta wanatumia haya mengine ya cement?
ArushaUliona wap?
Vinapatikana wap?
Kuna yanayobandikwa baada ya plasta,na kuna mengine yanayojengewaHaya mamijengo yapo leicester hapo kwa queen naomba kujua kama nayo ni ya kubandika?
Kwa msaada wa google earthView attachment 1984813View attachment 1984814View attachment 1984815
Naadhani teknolojia ilikuwa bado kufikaSijui kwanini bongo hatupendi zenye muonekano huo😮😮😮
Kwa mita sq. wanafanya bei gani?Njoo Moro yapo kibao au Iringa
Yapo ya aina mbili. Kuna yale ambayo ni matofali complete unajengea moja kwa moja (matofali ya kuchoma). Na kuna zile kama tiles ambazo unabandika ukutani kama finishing. Cheki na jamaa hawa instagram (Login • Instagram) wanatengeneza hizo za tiles za kubandika ukutani. Namba zao za simu ni 0622 564 288 au 0762541386Mwenye uelewa na hivi vitofali vyekundu vya kubandika ukutani, vinabandikwa kwa bei gani kwa kila mita za mraba?
View attachment 1984812
Arusha Kibo Palace Hotel ni mfano mzuriUliona wap? Vinapatikana wap?
Vinapendezesha nyumba sana, muonekano wake hauchoshi kama rangiArusha Kibo Palace Hotel ni mfano mzuri
Nashukuru sanaYapo ya aina mbili. Kuna yale ambayo ni matofali complete unajengea moja kwa moja (matofali ya kuchoma). Na kuna zile kama tiles ambazo unabandika ukutani kama finishing. Cheki na jamaa hawa instagram (Login • Instagram) wanatengeneza hizo za tiles za kubandika ukutani. Namba zao za simu ni 0622 564 288 au 0762541386