Mwenye ujuzi kuhusu tatizo hili la e-mail naomba msaada!!!

Mwenye ujuzi kuhusu tatizo hili la e-mail naomba msaada!!!

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
504
Reaction score
209
Kwa miezi sasa nimekuwa kila nikifungua e mail yangu nakutana na email za watu wakiniomba kazi wakiwa wameambatanisha na CV zao!Nadhani labda kuna watu wasiowaadilifu wametumia email address yangu kwenye matangazo yao ya kazi!Ninaomba mwenye ujuzi wa namna ya kufanya anijuze ili watu wasiendelee kusumbuka!Nilianza kwa kujaribu kuwaelewesha baadhi ya watu hao lakini kadri uchao emails za hivyo zinakuwa nyingi
 
Kwa miezi sasa nimekuwa kila nikifungua e mail yangu nakutana na email za watu wakiniomba kazi wakiwa wameambatanisha na CV zao!Nadhani labda kuna watu wasiowaadilifu wametumia email address yangu kwenye matangazo yao ya kazi!Ninaomba mwenye ujuzi wa namna ya kufanya anijuze ili watu wasiendelee kusumbuka!Nilianza kwa kujaribu kuwaelewesha baadhi ya watu hao lakini kadri uchao emails za hivyo zinakuwa nyingi
Google email yako ikifuatiwa na keyword kama Ajira, kazi etc.

Ujaribu kuona source nani kama hivyo.
 
Back
Top Bottom