Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mlipokuwa mnasifia kila kitu kwa mbwembwe mitandaoni hamkujua Tanesco huwa wanatoa updates?
Unategemea level ya publicity ya mradi kuwa sawa wakati wa kick off na wakati wa implementation? Au unadhani kila mtu hukesha akiweweseka kuhusu miradi hiyo tu? Kuna a lot of business to take care of my friend! Tafuta habari ikiwa unazihitaji.

Na kama ni hater tu awamu hii utapata taabu sana kwani yajayo yanafurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ukikaa kimya unapoteza nini kuliko kutetea upuuzi kwa kutoa tafsiri potofu ya kiwanda?
Inakera sana kuona mtu analeta ujuaji kwenye kitu asichojua. Unaweza kuelezea hapa ni kwa namna gani "firm" yenye vyerehani vinne siyo kiwanda? Tatizo ni kwamba wengi hujitia ujuaji wa kila kitu. Cherehani nne ni kiwanda! Iwe unakosa usingizi ama vipi.

Usiwe mvivu, tafuta maarifa.

Micro - small- medium - large, industries.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unategemea level ya publicity ya mradi kuwa sawa wakati wa kick off na wakati wa implementation? Au unadhani kila mtu hukesha akiweweseka kuhusu miradi hiyo tu? Kuna a lot of business to take care of my friend! Tafuta habari ikiwa unazihitaji.

Na kama ni hater tu awamu hii utapata taabu sana kwani yajayo yanafurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndio wale wanaosema eti tulikosea kununua ndege nyingi kwa cash, hawautazami ukweli kwamba corona imesimamisha kwa muda biashara zote duniani. Tatizo likidhibitiwa maisha yataendelea kama kawaida.
 
Inakera sana kuona mtu analeta ujuaji kwenye kitu asichojua. Unaweza kuelezea hapa ni kwa namna gani "firm" yenye vyerehani vinne siyo kiwanda? Tatizo ni kwamba wengi hujitia ujuaji wa kila kitu. Cherehani nne ni kiwanda! Iwe unakosa usingizi ama vipi.

Usiwe mvivu, tafuta maarifa.

Micro - small- medium - large, industries.

Sent using Jamii Forums mobile app

Peleka utoto mbali. Kama vyerehani vinne ni kiwanda mbona nchi hii tayari ni ya viwanda?
 
Hao ndio wale wanaosema eti tulikosea kununua ndege nyingi kwa cash, hawautazami ukweli kwamba corona imesimamisha kwa muda biashara zote duniani. Tatizo likidhibitiwa maisha yataendelea kama kawaida.

Acha upotoshaji, ununuaji wa ndege kwa cash haukuwa kipaombele cha wananchi bali ni kipaombele cha rais. Hizo pesa ni vyema zingepelekwa kwenye kilimo, kisha ndege tukakopa tukawa tunalipa kutokana na faida.
 
Acha upotoshaji, ununuaji wa ndege kwa cash haukuwa kipaombele cha wananchi bali ni kipaombele cha rais. Hizo pesa ni vyema zingepelekwa kwenye kilimo, kisha ndege tukakopa tukawa tunalipa kutokana na faida.
Kuna faida ya kuzinunua hizo ndege kwa cash kuliko kukopa na kuanza kulipa kwa riba. Kununua ndege kwa riba unajiweka katika mazingira ya pesa kumnufaisha zaidi mtengenezaji ndege kuliko wewe mnunuzi.

Huko kwenye kilimo na sekta nyingine kumepelekwa hela nyingi tu kwa miaka mingi, labda yapo matatizo mengine ya ndani ya taasisi za kilimo ndio maana kunaonekana kuwa na tija ndogo.
 
Unategemea level ya publicity ya mradi kuwa sawa wakati wa kick off na wakati wa implementation? Au unadhani kila mtu hukesha akiweweseka kuhusu miradi hiyo tu? Kuna a lot of business to take care of my friend! Tafuta habari ikiwa unazihitaji.

Na kama ni hater tu awamu hii utapata taabu sana kwani yajayo yanafurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, there is a lot of business to care of, lkn mimi nimeuliza hizo project tatu kama huna updates, mute.
 
Ok, there is a lot of business to care of, lkn mimi nimeuliza hizo project tatu kama huna updates, mute.
You guys are so funny. Nimewapa zoezi jepesi kabisa. Kama unataka real updates za SGRtz nenda youtube kwenye page ya mkandarasi Yapi. It's very annoying kuona mtu yuko JF na hapo hapo jf kuna thread inayotoa live updates za mradi kisha anakuja na thread za kimbea mbea kama hizi. Nenda kwenye thread ya Sgr tz vs Sgr Kenya ndio utajua kuwa mnaotamani miradi hii ifeli mtazidi kusononeka kila uchao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Elimika. Tunachopaswa kupambania ni mchanganyiko mzuri baina ya viwanda vidogo sana, vidogo, vya kati na vikubwa! Mtoto ni wewe unayeleta ujuaji kwenye masuala ambayo ni dhahiri kuwa una knowledge gap.

Nchi haiwezi kuwa tayari ya viwanda ikiwa na maelfu ya viwanda vidogo huku ikiwa haina viwanda vikubwa vya kutosha kuvilisha/kulishwa na hivyo vidogo. Hivi huko shule mnaendaga kusomea ujinga ee.

Soma zaidi, usiwe mvivu. #IndustrialDevelopment
Peleka utoto mbali. Kama vyerehani vinne ni kiwanda mbona nchi hii tayari ni ya viwanda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbaya zaidi hadi sasa ukichukua pesa iliyotumika plus mkopo wa juzi ni trilion 2.6 ambayo haijamaliza segment yoyote,sipati picha gharama zitakavyokuwa kubwa
Zitakuwa kubwa kutoka ngapi mpaka ngapi? Ukianza mradi kwa pesa zako za ndani kisha ukaumalizia kwa kukopa ndiyo gharama za mradi huongezeka? Inaonesha hujui hata budget za miradi husika ila ilimradi tu na wewe urushe jiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimika. Tunachopaswa kupambania ni mchanganyiko mzuri baina ya viwanda vidogo sana, vidogo, vya kati na vikubwa! Mtoto ni wewe unayeleta ujuaji kwenye masuala ambayo ni dhahiri kuwa una knowledge gap.

Nchi haiwezi kuwa tayari ya viwanda ikiwa na maelfu ya viwanda vidogo huku ikiwa haina viwanda vikubwa vya kutosha kuvilisha/kulishwa na hivyo vidogo. Hivi huko shule mnaendaga kusomea ujinga ee.

Soma zaidi, usiwe mvivu. #IndustrialDevelopment

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaa kimya huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani.
 
Kuna faida ya kuzinunua hizo ndege kwa cash kuliko kukopa na kuanza kulipa kwa riba. Kununua ndege kwa riba unajiweka katika mazingira ya pesa kumnufaisha zaidi mtengenezaji ndege kuliko wewe mnunuzi.

Huko kwenye kilimo na sekta nyingine kumepelekwa hela nyingi tu kwa miaka mingi, labda yapo matatizo mengine ya ndani ya taasisi za kilimo ndio maana kunaonekana kuwa na tija ndogo.
Ni ngumu sana kumwelimisha asiyejua kuwa hajui kwani kila unapojaribu kumpa maarifa, yeye huzidi kuyaepa. Wengi wanaopinga kununua ndege kwa cash hawajui hata tofauti baina ya hizo arrangements. Yawezekana wanadhani ununuzi wa ndege ni sawa na ununuzi wa gari.

Ndege hununuliwa kwa order hivyo unapotoa cash unapata ndege haraka zaidi (miaka 1-2). Bali unaponunua kwa mkopo hukuchukua miaka mingi (mpaka 7) kutegemeana na backlog ya mtengenezaji.

Makampuni makubwa kama Emirates tayari yamejiimarisha hivyo hawahitaji ndege on short time basis hivyo huwa tayari kusubiri hata miaka 5 au 6 na ndiyo sababu hukopa.

Sasa siye tunahitaji kuamsha aviation sector now na si miaka kenda ijayo.

Pia gharama ya kukopa huwa kubwa kuliko cash. Kwa mfano. Sera ya uchakavu ya ATCL ni miaka 33 kwa kila ndege mpya. Kwa bei ya Bombardier Q400-8 ya 2016 ($31m), ikiwa wangenunua kwa mkopo/kukodi ingewagharimu mara 5 zaidi ya hiyo gharama kwa kipindi cha miaka 33 kwa ndege 1.

Tatizo hapa ni kuwa kila mmoja anajiona Transportation analyst na hivyo kudhani tunajua kuliko serikali.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sgr Magu ahakikishe inaisha kabla hajasepa maana ni tembo mweupe mwenye zero profit ,hata kama ataingia ccm mpya siamini kama ataendelea kuweka pesa kwenye mradi hewa wa sifa usio na faida kiuchumi na ulio expensive kuujenga na kuuendesha/maintanance yake
Unaweza elezea u-white elephant wa huu mradi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye dawa usidanganye watu kabisa. Hospitali na vituo vya afya vya umma havina dawa kabisa. Ila mumekaririshwa kama ma-robot kusema kuwa bajeti ya dawa imeongezeka na munajenga vituo. Complete lies and rubbish

Jikite kwenye mada na issue sio kurukaruka kama kunguru.
 
Kazi zinaendelea, ulishatembelea site kunakofanyika hiyo miradi?
 
Acha upotoshaji, ununuaji wa ndege kwa cash haukuwa kipaombele cha wananchi bali ni kipaombele cha rais. Hizo pesa ni vyema zingepelekwa kwenye kilimo, kisha ndege tukakopa tukawa tunalipa kutokana na faida.
Hivi mkuu, kama Sera uliyokuwa ukiinadi 2015 kuwa utanunua madege ili kulibolesha shirika letu la ndege, ulikuwa ukimanisha kununua ndege Aina ya kunguru siyo??

Mkuu, mbona unajishushia heshima
 

Hiyo kununua ndege ingekuwa kwa cash huku mambo mengine muhimu ya wananchi yakiwa pending?
 
Ni ngumu sana kumwelimisha asiyejua kuwa hajui kwani kila unapojaribu kumpa maarifa, yeye huzidi kuyaepa. Wengi wanaopinga kununua ndege kwa cash hawajui hata tofauti baina ya hizo arrangements. Yawezekana wanadhani ununuzi wa ndege ni sawa na ununuzi wa gari.

Ndege hununuliwa kwa order hivyo unapotoa cash unapata ndege haraka zaidi (miaka 1-2). Bali unaponunua kwa mkopo hukuchukua miaka mingi (mpaka 7) kutegemeana na backlog ya mtengenezaji.

Makampuni makubwa kama Emirates tayari yamejiimarisha hivyo hawahitaji ndege on short time basis hivyo huwa tayari kusubiri hata miaka 5 au 6 na ndiyo sababu hukopa.

Sasa siye tunahitaji kuamsha aviation sector now na si miaka kenda ijayo.

Pia gharama ya kukopa huwa kubwa kuliko cash. Kwa mfano. Sera ya uchakavu ya ATCL ni miaka 33 kwa kila ndege mpya. Kwa bei ya Bombardier Q400-8 ya 2016 ($31m), ikiwa wangenunua kwa mkopo/kukodi ingewagharimu mara 5 zaidi ya hiyo gharama kwa kipindi cha miaka 33 kwa ndege 1.

Tatizo hapa ni kuwa kila mmoja anajiona Transportation analyst na hivyo kudhani tunajua kuliko serikali.



Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu EZZ CHEZZ. Humu jukwaani kila mmoja wetu anajifanya anajua kila kitu.
 
Asante mkuu EZZ CHEZZ. Humu jukwaani kila mmoja wetu anajifanya anajua kila kitu.
Cha ajabu ni kwamba, wao kwenye ilani Yao kulikuwepo hiyo ya ununuzi wa ndege, sijui walikuwa wakimanisha watanunua ndege Aina ya kunguru?

Wenzetu ijapokuwa ni watu wazima Ila wamejilazimisha wawe watoto, hawana kumbukumbu tena kipindi hicho walikuwa wakihitaji nini na walikuwa wakinadi nini
 
Cha ajabu ni kwamba, wao kwenye ilani Yao kulikuwepo hiyo ya ununuzi wa ndege, sijui walikuwa wakimanisha watanunua ndege Aina ya kunguru?

Wenzetu ijapokuwa ni watu wazima Ila wamejilazimisha wawe watoto, hawana kumbukumbu tena kipindi hicho walikuwa wakihitaji nini na walikuwa wakinadi nini
Wanalalamika mpaka wanapoteza kumbukumbu. Wanaishi kwa kutafuta kosa la serikali ili wapate uhalali wa kulalamika.
 
Back
Top Bottom