Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Basi endelea kusema hakuna kitu hakuna kitu. Time will tell. Kuna haja gani kubishana leo? Si hata 2015 kabla ya uchaguzi mlisema mtalipigia kura jiwe liingie madarakani lakini sio CCM. Leo ukiulizwa nani yuko madarakanj na 2020 nani ataingia tena madarakani, utabaki kuloloma tu!

Usitake kutoa hitimisho la upotoshaji. Sina popote niliposema hamna kitu, nilichosomea sifa zinazowekwa haziendani na ukweli halisi.

Hiyo ya kusema kuwa 2015 tulisema tutalipigia kura jiwe, ni mimi na nani? Kwani huyu aliyeko madarakani sasa aliingia madarakani kwa kura yangu? Hata hivyo hayo maneno unayosema ni yetu ni lazima yatokee kama walivyosema, isitoshe ni kwa tume ipi mpaka uje na hitimisho hilo? Nani ataingia madarakani inategemea kama tume huru ya uchaguzi itapatikana. Nina hakika yoyote atakayeingia kutokana na tume huru atakuwa mshindi halali.
 
Usitake kutoa hitimisho la upotoshaji. Sina popote niliposema hamna kitu, nilichosomea sifa zinazowekwa haziendani na ukweli halisi.

Hiyo ya kusema kuwa 2015 tulisema tutalipigia kura jiwe, ni mimi na nani? Kwani huyu aliyeko madarakani sasa aliingia madarakani kwa kura yangu? Hata hivyo hayo maneno unayosema ni yetu ni lazima yatokee kama walivyosema, isitoshe ni kwa tume ipi mpaka uje na hitimisho hilo? Nani ataingia madarakani inategemea kama tume huru ya uchaguzi itapatikana. Nina hakika yoyote atakayeingia kutokana na tume huru atakuwa mshindi halali.
Mkuu, Iko hivi,Watanzania tukishindwa, Pia Raisi kashindwa,Raisi akishindwa Tanzania imeshindwa, Endelea kulipa Kodi ili tusishindwe, hii ni Kwa maraisi wote wajao hata akitokea upinzani, Tanzania ni yetu sote
 
Mkuu, Iko hivi,Watanzania tukishindwa, Pia Raisi kashindwa,Raisi akishindwa Tanzania imeshindwa, Endelea kulipa Kodi ili tusishindwe, hii ni Kwa maraisi wote wajao hata akitokea upinzani, Tanzania ni yetu sote

Mkuu acha upotoshaji, hiyo miradi ikifanikiwa ni Magufuli na ccm wamefanikiwa, lakini wakishindwa ni watanzania tumeshindwa!
 
Ukisema hivyo mkuu utakuwa unaidhurumu nafs yako mkuu, maana Miradi yote inayofanywa, kunakodi zako pia, Wakati wewe ni mpinzani
Mkuu acha upotoshaji, hiyo miradi ikifanikiwa ni Magufuli na ccm wamefanikiwa, lakini wakishindwa ni watanzania tumeshindwa!
 
Hiyo miradi lazima tu ikwame kwani ilikuwa ikitegemea kujengwa kwa pesa za kukopa ila inakuwa vigumu kupata mikopo hiyo kwa sababu wazungu wanaingilia isipeanwe kwa sababu mbali mbali za kisiasa.

Serikali hii haina namna lazima iombe poo na itekeleze yale wanayotaka mataifa makubwa ambao hata hivyo kwa sababu kadhaa hawaridhii utekelezwaji wa hiyo miradi.
 
Hakuna hospitali inayotoa Panadol FYI.
Kwenye dawa usidanganye watu kabisa. Hospitali na vituo vya afya vya umma havina dawa kabisa. Ila mumekaririshwa kama ma-robot kusema kuwa bajeti ya dawa imeongezeka na munajenga vituo. Complete lies and rubbish
 
Hivi waziri mwenye dhamana ameshindwa nini kuwazuia wale wote wanaoikandia ATCL kupata huduma kwenye ndege zetu? Tufike mahali jino liwe kwa jino. Zito na genge lake la wahuni wasipate hudumu kwenye ndege zetu. Wao wana pesa kutoka kwa shangazi zao wawakodishie private jets.
Mkuu, ndege zimenunuliwa na hela ya watanzania wote including Zitto et al. Hakuna mtu wala sheria inayoweza kumzuia kupanda!
 
Kwenye dawa usidanganye watu kabisa. Hospitali na vituo vya afya vya umma havina dawa kabisa. Ila mumekaririshwa kama ma-robot kusema kuwa bajeti ya dawa imeongezeka na munajenga vituo. Complete lies and rubbish
[/QUOT
Mkuu, kwani ukiwa mpinzani ni lazima ulazimike kusema uwongo, mbona unaumiza nafs yako mkuu, kwetu huku kijijini nyamadoke dawa nyomi
 
Muda ndio utasema, hivi sasa hospitali nyingi kuanzia ngazi ya wilaya zinafanya kazi kwa ufanisi zaidi na dawa pamoja na vifaa vinapatikana sasa hiyo ni asilimia ngapi kwa mawazo yako? Barabara nyingi ni za lami na zinaendelea kujengwa sijui ni asilimia ngapi kwa mawazo yako?

BTW Tanzania tulikuwa tunajulikana tuna 3000km of tarmark roads countrywide. Je, unafahamu sasa hivi tunazo ngapi?
haaa labda lumumba hospital ,najua unafahamu kwamba mambo ni as usual hakuna dawa ni kwenda kununua kwenye maduka na juzi tu wananchi wa Tabora walikuwa wanamlalamikia mkuu wa mkoa kwa ishu hiyo hiyo,nyie mnaongea sisi wa huku down ndo tunajua.Niulize kuna elimu bure?
 
Hakuna aliyesema mradi umesimama ila kwa mujibu wa kebehi zenu sgr ilikuwa ifike Moro Nov 2019. Mmekwama wapi tuwachangie? Au corona imewakamata?

Hapo moro tu mmepitiliza muda sasa Dodoma si mtafika 2040.
Mbaya zaidi hadi sasa ukichukua pesa iliyotumika plus mkopo wa juzi ni trilion 2.6 ambayo haijamaliza segment yoyote,sipati picha gharama zitakavyokuwa kubwa
 
Update ni kwamba Stiglers Gorge inaendelea vizuri. Sema maji yamejaa yamesababisha kusimama kwa uchimbaji wa diversion tunnel, mvua ikikata maji yakaisha kazi inaendelea kama kawaida. Kwa hili serikali inapaswa kupongezwa.

SGR pia ni project nzuri, iwapo itakamilika tutaona matunda yake. Kwa sasa hii ya Morogoro Dar iko karibu 80% na natumaini kufikia December mwaka huu itakua tayari. Ile ya Moro Dom iko 30%, 2024 au kabla ya hapo itakamilika.

Katika project naunga mkono na nafuatilia ni hizi kwa sababu zina long term benefits kuliko nyingine zote.
Hii sgr Magu ahakikishe inaisha kabla hajasepa maana ni tembo mweupe mwenye zero profit ,hata kama ataingia ccm mpya siamini kama ataendelea kuweka pesa kwenye mradi hewa wa sifa usio na faida kiuchumi na ulio expensive kuujenga na kuuendesha/maintanance yake
 
Mimi Haya MACCM yaliweza kunidanganya tu kwenye GAS maana uko niliaminishwa kwamba sasa mambo yatakuwa mazuri ila sasa sidanganywi tena na haya MACCM....'' I hate them''
 
Back
Top Bottom