Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Nyie ndio wale mnakuwa wafuasi wa watu wanaotukana NChi yetu wakiwa na bendera za NCHI nyingine.
 
.... chama tawala katika ubora wake hongera kujibu hoja huo ndio mwisho wa upeo wako
Michaelmakene Mtanzania yeyote makini anawachukulia ninyi kama watu wasiojua kinachoendelea nchini. Umeshindwa kuangalia Reli TV ukajua kinachoendelea? Siku treni ya kwanza ikianza kufanya kazi sijui mtasema nini.
 
Nilipoanza kuona taarifa ya reli TV na taarifa za waziri zinapishana, nilijua huo ni uhuni kama uhuni mwingine. Kimsingi mimi nikiambiwa jambo naangalia na kusikiliza zaidi ya sehemu moja, nikiona tu taarifa zinatofautiana napuuza moja kwa moja hizo taarifa za jambo husika.

TRC wana account yao verified hapa jf, lakini ni nadra wao kutoa ufafanuzi husika pindi wanapokutana na maswali ya msingi. Huwa wanajibu baadhi lakini ni maswali yaliyowazi, I guess ni kama kuna watu wao wengine wanaojuana huuliza maswali mepesi, kisha hiyo verified account ndio inayajibu
Basi endelea kusema hakuna kitu hakuna kitu. Time will tell. Kuna haja gani kubishana leo? Si hata 2015 kabla ya uchaguzi mlisema mtalipigia kura jiwe liingie madarakani lakini sio CCM. Leo ukiulizwa nani yuko madarakanj na 2020 nani ataingia tena madarakani, utabaki kuloloma tu!
 
Mara ya mwisho umeangalia Reli TV lini?

Halafu ni toka lini mmeanza kutegemea taarifa kwa umma ziufikie kupitia mitandao? Si huwa mnasema wananchi wengi hawana access na mitandao? Au ndio mambo ya mfa maji anarukia kila kitu?
 
Michaelmakene Mtanzania yeyote makini anawachukulia ninyi kama watu wasiojua kinachoendelea nchini. Umeshindwa kuangalia Reli TV ukajua kinachoendelea? Siku treni ya kwanza ikianza kufanya kazi sijui mtasema nini.

Treni kufanya kazi hiyo sio issue, bali muda uliotarajiwa kuanza kazi Dar- moro ni nje ya muda. Hiyo Reli TV unayoisema si ndio hizo zenye taarifa za zamani? Unaweza kwenda huko Reli TV na kuishia kukutana na taarifa za miezi 7 iliyopita.
 
Treni kufanya kazi hiyo sio issue, bali muda uliotarajiwa kuanza kazi Dar- moro ni nje ya muda. Hiyo Reli TV unayoisema si ndio hizo zenye taarifa za zamani? Unaweza kwenda huko Reli TV na kuishia kukutana na taarifa za miezi 7 iliyopita.
Hivi Chadema watajenga lini jengo la makao makuu ya chama?
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Hoima shida ni UG wanachelewesha ila ni project yakuombea ifanikiwe, SGR inatia matumaini kazi ni ngumu lkn wanapambana kukimbiza nayo nikazi bora, JNHEP inasemekana kazi inakwenda ilivyopangwa pengine ni project ya maana lkn kuhusu ndege nadhani mkulu alichemsha nasasa ATCL watasingizia corona kumbe ilebiashara ningumu nawao wameivamia kichwakichwa!! Serikali izidishe umakini inapotaka kuwekeza kodi zetu
 
Hivi Chadema watajenga lini jengo la makao makuu ya chama?

Ni kweli cdm kutokuwa na jengo la ofisi lenye hadhi yao ni jambo la aibu na kudharauliwa, ila mada hii haihusiani na jengo la cdm. Kwa jinsi unavyojifanya huwa unajua kujenga hoja, kisha naona unakwepa hoja za msingi na kuleta huu utetezi wa kichovu, sasa naamini ww na wanaccm wenzako pumzi imekata. Na zile propaganda mfu zenu, kwa sasa ukweli unaanza kujitenga na uongo. Awamu hii imefanikiwa sana kudhibiti vyombo vya habari ili weakness zisisemwe, na yenyewe iishie kuwalisha wananchi taarifa za kupika. Matokeo yake nyie watetezi wa ccm/serekali mkibanwa mnapoteana.
 
Ni kweli cdm kutokuwa na jengo la ofisi lenye hadhi yao ni jambo la aibu na kudharauliwa, ila mada hii haihusiani na jengo la cdm. Kwa jinsi unavyojifanya huwa unajua kujenga hoja, kisha naona unakwepa hoja za msingi na kuleta huu utetezi wa kichovu, sasa naamini ww na wanaccm wenzako pumzi imekata. Na zile propaganda mfu zenu, kwa sasa ukweli unaanza kujitenga na uongo. Awamu hii imefanikiwa sana kudhibiti vyombo vya habari ili weakness zisisemwe, na yenyewe iishie kuwalisha wananchi taarifa za kupika. Matokeo yake nyie watetezi wa ccm/serekali mkibanwa mnapoteana.
Nakwepaje hoja? Reli inajengwa. Unaweza kwenda site kuhakiki. Mwl. Nyerere Hydro power inajengwa. Tembelea site kajiridhishe. Issue ni Chadema wanajenga lini ofisi? Si wanaweza "kuchukua" nchi mwaka huu? Ahahahahahahah!!!
 
Hoima shida ni UG wanachelewesha ila ni project yakuombea ifanikiwe, SGR inatia matumaini kazi ni ngumu lkn wanapambana kukimbiza nayo nikazi bora, JNHEP inasemekana kazi inakwenda ilivyopangwa pengine ni project ya maana lkn kuhusu ndege nadhani mkulu alichemsha nasasa ATCL watasingizia corona kumbe ilebiashara ningumu nawao wameivamia kichwakichwa!! Serikali izidishe umakini inapotaka kuwekeza kodi zetu

Project ya bomba la mafuta ni project ya kitapeli. Museveni ni tapeli kama matapeli wengine. Magufuli alikuwa hajamjua vizuri Museveni ndio maana alidhani anaongea na mtu wa maana. Hiyo project ya Bomba la mafuta ilikuwa lipitie Kenya, baadae akaleta huo mradi Tanzania. Lakini mpaka leo hakuna linaloendelea na Museveni tayari wameshazenguana na wawekezaji wa hilo bomba.

Kimsingi hilo bomba Tanzania haitoi hata shilingi moja, zaidi ya kutoa njia ya kupitisha na kuwinda fursa za kiuchumi za ujenzi na uwepo wa hilo bomba. Mwanzo ilikuwa Magufuli anasifiwa kuwa ni sehemu ya mafanikio yake jambo ambalo lilikuwa ni upotoshaji wa wazi. Huyo Museveni tulisema ni tapeli tu, maana aliwahi kuitaka bandari ya Tanga enzi za Mkapa ili apewe sehemu aboreshe kwa ajili ya mizigo ya Uganda, na kweli alipewa, lakini hakuwahi kuleta hata tofali bovu. Hivyo deal la bomba la mafuta ni kama ishakuwa deal mfu, na usishangae akipitishia hilo bomba Kenya.
 
Basi tu ni kwasababu huwezi kuonja sumu lakini hawa walitakiwa wapewe nchi ili tuone uongozi wao ulio tukuka utakuwaje sipati picha jinsi watakavyo boronga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi tu ni kwasababu huwezi kuonja sumu lakini hawa walitakiwa wapewe nchi ili tuone uongozi wao ulio tukuka utakuwaje sipati picha jinsi watakavyo boronga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakwepaje hoja? Reli inajengwa. Unaweza kwenda site kuhakiki. Mwl. Nyerere Hydro power inajengwa. Tembelea site kajiridhishe. Issue ni Chadema wanajenga lini ofisi? Si wanaweza "kuchukua" nchi mwaka huu? Ahahahahahahah!!!

Hakuna aliyesema kuwa reli haijengwi, bali muda tuliombiwa kuwa itakuwa tayari ili kusaka kiki, hauendani na kinachoendelea. Huo mradi wa SG nao umegubikwa na porojo nyingi, mwanzo hadithi ilikuwa tunajenga kwa fedha zetu za ndani, ghafla hadithi imegeuka tunakopa. Sasa kama tunakopa na mwanzo tulisema ni fedha za ndani, una uhakika gani na huo mradi kukamilika kwa muda tulioambiwa?

Cdm sio kwamba hawana ofisi, bali ni lini watakuwa na ofisi yenye hadhi ya chama chao. Hata Tanu walipokuwa wanataka uhuru, hawakuwa na ofisi yenye ghorofa 50, maana lengo ilikuwa sio kuwa na ofisi kubwa, bali kuleta uhuru. Jiulize ccm ilichukua muda gani kuwa na ofisi kama ya Dodoma , huku ikiwa imezaliwa ikiwa madarakani.
 
Mafuriko huko ni hatari njia za kuelekea huko katika hiyo Miradi Maji yamejaa Pomoni,mamba nao hawachezi mbali wakiona tu shati za kijani umeenda.

Wataalamu wao hawakuwashauri vizuri sasa kila kitu kimekwama.
Mamba hana uwezo wa kutambua rangi uono wake upo limited katika black and white
 
Basi tu ni kwasababu huwezi kuonja sumu lakini hawa walitakiwa wapewe nchi ili tuone uongozi wao ulio tukuka utakuwaje sipati picha jinsi watakavyo boronga

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapiga ramli acha ramli.Kikwete alikuwa na maelfu ya wafanyakazi hewa lakin midari mingi unayoiona ameanzisha yeye.Ameajiri watu wa kila aina shule kila kata.Huyu wa sasa anashindwa nini?Nchi hii Magufuli akifa mma samia akiwa rais utaona mambo ambayo tulidhani haiwezekaniki yanawezekana
Hawa Nguchiro wa CCM wanaaminisha Umma kuwa bila awamu ya 5 hakuna kingine nchi imefanya kumbe ni wafia chama tu na wazandiki wa kisiasa.
Nchi ina resources nyingi ila matumizi ya viapaumbele hakuna.Saiz shirika la ATCL hata ukiliambila liendeshe timu kama ya Biashara United hawawezi labda pesa wachukue hazina.Sasa hapo nini kama sio kuwa na vipaumbele hewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakwepaje hoja? Reli inajengwa. Unaweza kwenda site kuhakiki. Mwl. Nyerere Hydro power inajengwa. Tembelea site kajiridhishe. Issue ni Chadema wanajenga lini ofisi? Si wanaweza "kuchukua" nchi mwaka huu? Ahahahahahahah!!!
Acha porojo leta ushahidi usio na shaka kuwa Reli inajengwa,Bwawa linajengwa la sivyo mimi pia na kwambia Chadema tuko kwenye ujenzi wa Ghorofa 5 za makao makuu saiz tupo ghorofa ya 2 na baada ya miaka mi3 litakamilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi tu ni kwasababu huwezi kuonja sumu lakini hawa walitakiwa wapewe nchi ili tuone uongozi wao ulio tukuka utakuwaje sipati picha jinsi watakavyo boronga

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa taarifa yako, chama au mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuongoza nchi hii. Usitake kutishia watu kana kwamba kuongoza nchi hii kunahitaji uwezo wa maajabu. Hata kama ni uwezo wa maajabu ndio uko ccm? Angalia hapo Kenya ilikuwa inaoongozwa na KANU, na leo haipo, ni kipi tunawazidi sisi wakenya kiuchumi, kijamii, kisiasa nk zaidi ya ukondoo?
 
Km 3000!? Unaongelea mwaka gani?
Muda ndio utasema, hivi sasa hospitali nyingi kuanzia ngazi ya wilaya zinafanya kazi kwa ufanisi zaidi na dawa pamoja na vifaa vinapatikana sasa hiyo ni asilimia ngapi kwa mawazo yako? Barabara nyingi ni za lami na zinaendelea kujengwa sijui ni asilimia ngapi kwa mawazo yako?

BTW Tanzania tulikuwa tunajulikana tuna 3000km of tarmark roads countrywide. Je, unafahamu sasa hivi tunazo ngapi?

Sent using Redmi Y2
 
Muda ndio utasema, hivi sasa hospitali nyingi kuanzia ngazi ya wilaya zinafanya kazi kwa ufanisi zaidi na dawa pamoja na vifaa vinapatikana sasa hiyo ni asilimia ngapi kwa mawazo yako? Barabara nyingi ni za lami na zinaendelea kujengwa sijui ni asilimia ngapi kwa mawazo yako?

BTW Tanzania tulikuwa tunajulikana tuna 3000km of tarmark roads countrywide. Je, unafahamu sasa hivi tunazo ngapi?
Kawadanganye wajinga,Jakaya jaacha zaidi ya Km 13000 na leo utuambie barabara zilikuwa KM 3000.

Mengine unaweza kuwa umesema kweli lkn sio kwenye barabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom