Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?


Mbwembwe nyiingi hata hela za kupambana na korona hamna mpk mchukue za kwenye mbio za mwenge.
 
Mi nashangaa watu kupoteza muda wao kumjibu mtu kama huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stupid. hivi katika akili yako unajua mu7 ndio analeta bomba tz. bomba linaletwa na kampuni ya total. total ndio wenye visima uganda na wao ndio wanatoa $4 billion za kujenga bomba. na total ndio walimgomea mu7 kupeleka bomba kenya. hivi mbona mnashindwa kujua hata vitu raisi tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeishia darasa la 7 nini mkuu. hujui kama kwenye proect planning kuna kitu kinaitwa delay. wewe unajua duniani kila project ikipangwa inaenda exactly kama ilivyopangwa. ndio maana jf hua naingia mara moja moja sana siku hizi maana wajinga ni wengi mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ficha ujinga wako we dogo, hayo mafuta yako kwenye nchi ya Total au Uganda?
 
Ficha ujinga wako we dogo, hayo mafuta yako kwenye nchi ya Total au Uganda?
huna unachokijua bora ukae kimya. wewe unajua hii mikataba inaingiwa vipi. waambie basi hao uganda na mu7 watoe hizo $4bilioni wajenge bomba. mu7 na kenyatta walikuwa washasign MOU. lakini total akakataa akasema anataka bomba lienda tz na si kenya na imekuwa hivyo. kaa kimya ufiche ujinga wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nani amekwambia limegeuka hewa. mu7 alivyokuja Tz mwaka jana ulimsikia JPM alimwambia nini mu7? au ulikuwa huelewi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Politics my dear .Je ne crois jamais aux paroles sans actions. Je suis scientifique,J'observe et j'analyse ce que je vois,les choses rΓ©elles. Pas de paroles sans fait .
M7 aliambiwa akafukuze watendaji wake uliona kafanya hivyo?
Total walijitoa,uliona wamerudi ?
Je ne suis pas politicienne,je m'appuie aux facts et pas au parole vide.
 
Na sisi tunasubiri tujengewe kama nyie mlivyojengewa na wachina hapo Lumumba pamoja na mabilioni mnayoyapata tena miaka zaidi ya arobaini!!
 
Mafuriko yaliyotaka kubomoa daraja la mto Ruaha wiki iliyopita pale Kidatu na kufurikisha vijiji kadhaa yameleta dhahama eneo la tukio la ujenzi wa steigler's gorge.
 
Mtashindwaje kufurahia Miradi endapo itashindwa kuendelea ikiwa tu mnaombea Hadi Corona ije ili Hali inakuja kuchezea vichwa hata vya vitoto vyenu na Wala haitabagua Vyama??

Mbuzi kasoro mkia ninyi!!!
 
Sahihi kabisa. Kabla ya 2015, miongoni mwa mambo ambayo tuliyapigia sana kelele ni ATCL kukosa uhai na hivyo seeikali kushindwa ku-effect uchumi kupitia sekta ya usafiri wa anga. Hali ambayo ilipelekea uhai wa sekta hiyo kutegemea mashirika yasiyo na malengo/mikakati ya kudumu (rejea Community Airlines, Fast Jet) kitu ambacho kisingewahi kuusaidia uchumi wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unashauri kila kitu twende you tube JF ya nini sasa, mind you mtu anapouliza swali public inawezekana si kwa faida yake pekee ni faida kwa wengine pia.
Soma vizuri nilichoandika mzazi. Hapa hapa JF kuna thread yenye live updates za SGRtz. Kudhani kuwa publicity au coverage ya hii miradi itakuwa sawa wakati wa uzinduzi na wakati wa utekelezaji ni kuwa na matarajio makubwa mno.

Bali ni sisi ambao si wafuatiliaji wazuri wa miradi yetu pindi ambapo publicity yake haiko juu. Hii ndiyo sababu hata hapa JF, thread ambayo itampatia msomaji taarifa nyingi kuhusu SGRtz kwa mfano, iko "Kenyan News Forum"!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…