wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hatujadili majungu! Tanzania ilikuwa kwenye hai mbaya sana wakati wa JK, rejea vigenerator kila kona, miradi ya kufua umeme kwa kuwakandamiza Watanzania nk. Wafanyakazi hewa wakati wa JK walishamiri, hata watoto wake nao walikuwa kama marais nk, Membe naye ambaye ni ndugu alitaka kubatiziwa urais what a shame! Waungwana hukaa kimya.
Mbwembwe nyiingi hata hela za kupambana na korona hamna mpk mchukue za kwenye mbio za mwenge.