hawa watu ni wajinga sana. hana anachokijua alafu anaona anajua. hata idea ya kwanin bomba linakuja tz na sio kenya mtu hajuiWell said. Miongoni mwa vitu vinavyokera ni kuona mtu anajitutumua kuhabarisha kuhusu kitu ambacho ni dhahili hana alijualo.
Sent using Jamii Forums mobile app
April 7, 2020
Rufiji , Tanzania
Live Mubashara
LIVE MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA UMEME RUFIJI
Inasikitisha mwandishi wa habari na pia mtaalamu wa mradi wa bwawa la Julius Nyerere Hydro Power Project almaaruf Stiegler's Gorge wanaendesha kipindi mubashara huku wakipiga propaganda za kisiasa akijibu mitandao na wanaJF bila kujibu maswali mengi ya wananchi juu ya maendeleo ya mradi huu, changamoto zake na matarajio kiutaalamu
Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUSWewe nawe unawasikiliza hao wajinga? Hakuna kitu ni mbwembwe za kutuona sisi wajinga wakati tunaelewa wao ndio wajinga.
Naongezea "PUMBAVU KABISA">Unafuta Vyeti Feki.
Unafuta Watumishi Hewa.
Ajira Mpya Hutoi.
Lakini Pesa Ya Kuongeza Hata "Statutory Annual Increment" HUNA
A SHAME MEMBE KUWA RAIS ILA NI PROUD MATAKO KUJA KUWA RAIS?Hatujadili majungu! Tanzania ilikuwa kwenye hai mbaya sana wakati wa JK, rejea vigenerator kila kona, miradi ya kufua umeme kwa kuwakandamiza Watanzania nk. Wafanyakazi hewa wakati wa JK walishamiri, hata watoto wake nao walikuwa kama marais nk, Membe naye ambaye ni ndugu alitaka kubatiziwa urais what a shame! Waungwana hukaa kimya.
Bado huna uhakika, sasa mbwbwe na kelele zilikuwa za nini?Mradi wa Tanga-Hoima utakuwa na manufaa makubwa endapo utatekelezwa. Lakini suala la watu kudhani mradi huo utawapatia pesa za kuchota, kuanza kula samaki wa kupaka na kuacha kushindia mihogo ni fikra za mtu husika. Ambazo kimsingi huwezi kuzidhibiti.
Short term benefits za miradi kama hiyo hunufaisha "maelfu" tu ya watu walio kwenye mnyororo wa thamani wa utekelezaji wa mradi wenyewe (ujenzi).
Bali "mamilioni" waweza kunufaika kutokana na "derived" economic activities ikiwa mradi utatekelezwa ipasavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu hutafsiri "mbwembwe na kelele" kutegemeana na upeo na akili yake. Kuna mwingine mradi kuzinduliwa na kupewa coverage na media zote kwake hizo ni mbwembwe. Yaana anataka miradi izinduliwe kimya kimya ili wadau mbalimbali hasa umma, wasiufahamu mradi kiundani.Bado huna uhakika, sasa mbwbwe na kelele zilikuwa za nini?
Lile bomba la mafuta kwa uzinduzi ule limegeuka kuwa hewa.
Tuliambiwa SGR Dar to Morogoro ingeanza Dec mwaka jana, Stiegler's Gorge nayo kimya. Sio Msemaji wa serikali wala Polepole wala praise team wanaogusia, nini kimewapata.
Bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga lilizinduliwa kwa mbwembwe tukaonywa atakayekwamisha atakiona, nani sasa amekwamisha. Je ule wimbo wetu wa kuhamia Dodoma umeishia wapi?
Tanzania ya viwanda imefikia wapi, juzi tuliambiwa tuna viwanda vikubwa, vya kati, vidogo na vidogo sana, sijui hivyo vidogo sana ni vya wachoma mahindi?
Ndege zetu zimepaki? yaani.
Mambo ni mengi sana muda hautoshi.
Kwa kweli ni aibu kubwa kwa chama cha siasa kikubwa kama Chadema kuendelea kupanga jengo tena jengo lenyewe kama la mtendaji wa kata wakati kina wanachama wengi tu, ruzuku, na hata vyama rafiki toka mataifa ya nje. Miaka zaidi ya 20 ofisi mbovu vile halafu wanaaminisha watu kwamba wakipewa kuongoza nchi hii wataeleta maendeleo. BADILIKENI SANA.Nakwepaje hoja? Reli inajengwa. Unaweza kwenda site kuhakiki. Mwl. Nyerere Hydro power inajengwa. Tembelea site kajiridhishe. Issue ni Chadema wanajenga lini ofisi? Si wanaweza "kuchukua" nchi mwaka huu? Ahahahahahahah!!!
Mkuu nawakumbusheni tu kwamba pia jf kuna watu wa Taifa la jirani (Kenya) hivyo pia wakti mwingine huja humu kuposti threads za challenge tzMkuu, Iko hivi,Watanzania tukishindwa, Pia Raisi kashindwa,Raisi akishindwa Tanzania imeshindwa, Endelea kulipa Kodi ili tusishindwe, hii ni Kwa maraisi wote wajao hata akitokea upinzani, Tanzania ni yetu sote
Cherehani 4-10 zinaweza kuwa kiwanda kidogo huo ndio ukweli. Suala hapa je hizo cherehani 4 - 10 ni za aina gani (uwezo wake) na zinazalisha nini? Kama ni cherehani za kisasa na wanatengeneza kwa wingi nguo au viatu na vitu vingine kama hivyo vyenye quality ambavyo vinaweza kuuzwa ndani ya nchi na hata nje ya nchi basi hicho ni kiwanda maana kitafuata hatua zote za utengenezaji wa hizo bidhaa na kuajiri watu wenye sifa. Lakini kama hizo cherehani 4-10 zitakuwa ni za kushona viraka na mavazi ya mtu moja mmoja basi hicho si kiwanda.Peleka utoto mbali. Kama vyerehani vinne ni kiwanda mbona nchi hii tayari ni ya viwanda?